Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 28:20, 21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 Mwishowe Mufalme Tilgat-pilneseri+ wa Ashuru akakuja kupigana naye na akamuletea taabu+ kuliko kumutia nguvu. 21 Kwa maana Ahazi alikuwa ameondoa mali yote katika nyumba ya Yehova na nyumba ya mufalme+ na nyumba za wakubwa na kupatia mufalme wa Ashuru zawadi; lakini hilo halikumusaidia hata kidogo.

  • Hosea 5:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Wakati Efraimu aliona ugonjwa wake, na Yuda kidonda chake,

      Efraimu alienda Ashuru+ na kutuma ujumbe kwa mufalme mukubwa.

      Lakini hakuweza kuwaponyesha ninyi,

      Na hakuweza kuponyesha kidonda chenu.

  • Hosea 14:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  3 Ashuru haitatuokoa.+

      Hatutapanda farasi,+

      Na hatutaambia tena kazi ya mikono yetu, “Ee Mungu wetu!”,

      Kwa maana kupitia wewe mutoto mwenye hana baba anaonyeshwa rehema.’+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine