-
2 Mambo ya Nyakati 28:20, 21Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
20 Mwishowe Mufalme Tilgat-pilneseri+ wa Ashuru akakuja kupigana naye na akamuletea taabu+ kuliko kumutia nguvu. 21 Kwa maana Ahazi alikuwa ameondoa mali yote katika nyumba ya Yehova na nyumba ya mufalme+ na nyumba za wakubwa na kupatia mufalme wa Ashuru zawadi; lakini hilo halikumusaidia hata kidogo.
-
-
Hosea 5:13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 Wakati Efraimu aliona ugonjwa wake, na Yuda kidonda chake,
Efraimu alienda Ashuru+ na kutuma ujumbe kwa mufalme mukubwa.
Lakini hakuweza kuwaponyesha ninyi,
Na hakuweza kuponyesha kidonda chenu.
-
-
Hosea 14:3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Ashuru haitatuokoa.+
-