27 Zaidi ya hayo, Isaya anasema kwa sauti kubwa kuhusu Israeli: “Hata kama hesabu ya wana wa Israeli inaweza kuwa kama muchanga wa bahari, ni mabaki tu ndio wataokolewa.+ 28 Kwa maana Yehova ataomba hesabu kwa watu wa dunia, na ataimaliza na kuifupisha.”+