2 Wafalme 19:35 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 35 Usiku uleule malaika wa Yehova alitoka na akapiga na kuua watu elfu mia moja makumi munane na tano (185 000) katika kambi ya Waashuru.+ Wakati watu waliamuka asubui sana, wakaona maiti zote.+
35 Usiku uleule malaika wa Yehova alitoka na akapiga na kuua watu elfu mia moja makumi munane na tano (185 000) katika kambi ya Waashuru.+ Wakati watu waliamuka asubui sana, wakaona maiti zote.+