35 ‘Nitalinda muji huu+ na kuuokoa kwa ajili yangu mwenyewe+
Na kwa ajili ya mutumishi wangu Daudi.’”+
36 Na malaika wa Yehova alitoka na akapiga na kuua watu elfu mia moja makumi munane na tano (185 000) katika kambi ya Waashuru. Wakati watu waliamuka asubui sana, wakaona maiti zote.+