-
1 Samweli 22:18, 19Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
18 Kisha mufalme akamuambia Doegi:+ “Wewe geuka na ushambulie makuhani!” Mara moja Doegi Mwedomu+ akaenda na kushambulia makuhani hao yeye mwenyewe. Siku hiyo aliua wanaume makumi munane na tano (85) wenye kuvaa efodi ya kitani.+ 19 Akapiga pia muji wa Nobu,+ muji wa makuhani, kwa upanga; akaua kwa upanga mwanaume na mwanamuke, mutoto na mutoto mwenye kunyonya, ngombe-dume, punda, na kondoo.
-