Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 25:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Basi nikakamata kile kikombe katika mukono wa Yehova na kufanya mataifa yote yenye Yehova alinituma kwao yakunywe:+

  • Yeremia 25:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 wafalme wote wa Tiro, wafalme wote wa Sidoni,+ na wafalme wa kisiwa chenye kuwa katika bahari;

  • Yeremia 47:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  4 Kwa sababu siku yenye inakuja itaharibu Wafilisti wote;+

      Itaondoa katika Tiro+ na katika Sidoni+ kila musaidizi mwenye kubakia.

      Kwa maana Yehova ataharibu Wafilisti,

      Wenye wamebakia kutoka kisiwa cha Kaftori.*+

  • Ezekieli 26:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 kwa hiyo, Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: ‘Angalia, niko juu yako, Ee Tiro, na nitainua mataifa mengi ili yakushambulie, kama vile bahari inainua mawimbi yake.

  • Ezekieli 27:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 “Sasa wewe, mwana wa binadamu, imbia Tiro wimbo wa huzuni,*+

  • Yoeli 3:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  4 Tena, muko na shida gani na mimi,

      Ee Tiro, Sidoni, na maeneo yote ya Wafilisti?

      Je, munataka kunirudishia jambo fulani la mubaya lenye niliwatendea?

      Kama munataka kunirudishia jambo hilo,

      Matendo yenu nitayalipa haraka na bila kuchelewa juu ya vichwa vyenu.+

  • Amosi 1:9, 10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  9 Yehova anasema hivi:

      ‘Kwa sababu Tiro ameasi+ mara tatu (3), na kwa sababu ameasi mara ine (4), sitabadilisha hilo,

      Kwa sababu walitia kikundi chote cha watu wenye walihamishwa katika mukono wa Edomu,

      Na kwa sababu hawakukumbuka agano la ndugu.+

      10 Kwa hiyo nitatuma moto juu ya ukuta wa Tiro,

      Na utateketeza minara yake yenye ngome.’+

  • Zekaria 9:3, 4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  3 Tiro ilijijengea boma.*

      Na ilikusanya feza kama mavumbi

      Na zahabu kama uchafu wenye kuwa katika barabara.+

       4 Angalia! Yehova atachukua mali zake,

      Na atapiga na kuua jeshi lake katika bahari;*+

      Na itateketezwa ndani ya moto.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine