Mwanzo 10:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Wana wa Yafeti walikuwa Gomeri,+ Magogu,+ Madai, Yavani, Tubali,+ Mesheki,+ na Tirasi.+ Mwanzo 10:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Wana wa Yavani walikuwa Elisha,+ Tarshishi,+ Kitimu,+ na Dodanimu. Yeremia 2:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 ‘Lakini muvuke mupaka kwenye inchi za pembeni ya bahari za* Kitimu+ na muone. Ndiyo, mutume watu Kedari+ na mufikirie kwa uangalifu;Muone ikiwa jambo kama hili limetendeka. Ezekieli 27:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Walitengeneza makasia* yako kutokana na mialoni ya Bashani. Na omo* yako ilitengenezwa kwa muti wa muvinje na kupambwa kwa pembe za tembo kutoka visiwa vya Kitimu.+
10 ‘Lakini muvuke mupaka kwenye inchi za pembeni ya bahari za* Kitimu+ na muone. Ndiyo, mutume watu Kedari+ na mufikirie kwa uangalifu;Muone ikiwa jambo kama hili limetendeka.
6 Walitengeneza makasia* yako kutokana na mialoni ya Bashani. Na omo* yako ilitengenezwa kwa muti wa muvinje na kupambwa kwa pembe za tembo kutoka visiwa vya Kitimu.+