37 “Sasa mimi, Nebukadneza, ninamusifu na kumuinua na kumutukuza Mufalme wa mbinguni,+ kwa sababu kazi zake zote ni za kweli na njia zake ni za haki,+ na kwa sababu anaweza kunyenyekeza wale wenye kutembea kwa kiburi.”+
6 Hata hivyo, fazili zenye hazistahiliwe zenye Yeye anatoa ni kubwa zaidi. Kwa hiyo, andiko linasema: “Mungu anapinga wenye majivuno,+ lakini anapatia wanyenyekevu fazili zenye hazistahiliwe.”+