Isaya 23:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 Tangazo kuhusu Tiro:+ Muomboleze, ninyi mashua* za Tarshishi!+ Kwa maana bandari* imeharibiwa; haiwezi kuingiwa. Wamefunuliwa habari kutoka katika inchi ya Kitimu.+ Ezekieli 26:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Na nitakufanya kuwa jiwe lenye kungaa, lenye kuwa wazi, na utakuwa kiwanja cha kukaushia nyavu za* kukokotwa.+ Hakuna siku utajengwa tena, kwa maana mimi mwenyewe, Yehova, nimesema,’ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema. Ezekieli 26:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Nao watakuimbia wimbo wa huzuni*+ na kukuambia: “‘“Namna umeangamia,+ wewe mwenye ulikuwa na wakaaji kutoka katika bahari, muji wenye ulisifiwa;Wewe na wakaaji wako* mulikuwa wenye nguvu kwenye bahari,+Mulieneza woga mukubwa kwa wakaaji wote wa dunia!
23 Tangazo kuhusu Tiro:+ Muomboleze, ninyi mashua* za Tarshishi!+ Kwa maana bandari* imeharibiwa; haiwezi kuingiwa. Wamefunuliwa habari kutoka katika inchi ya Kitimu.+
14 Na nitakufanya kuwa jiwe lenye kungaa, lenye kuwa wazi, na utakuwa kiwanja cha kukaushia nyavu za* kukokotwa.+ Hakuna siku utajengwa tena, kwa maana mimi mwenyewe, Yehova, nimesema,’ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema.
17 Nao watakuimbia wimbo wa huzuni*+ na kukuambia: “‘“Namna umeangamia,+ wewe mwenye ulikuwa na wakaaji kutoka katika bahari, muji wenye ulisifiwa;Wewe na wakaaji wako* mulikuwa wenye nguvu kwenye bahari,+Mulieneza woga mukubwa kwa wakaaji wote wa dunia!