Ezekieli 26:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Atakuwa kiwanja cha kukaushia nyavu za* kukokotwa katikati ya bahari.’+ “‘Kwa maana mimi mwenyewe nimesema,’ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema, ‘na atakuwa kitu cha kunyanganywa na mataifa. Ezekieli 26:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 “Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anamuambia Tiro hivi: ‘Wakati sauti ya kuanguka kwako itasikika, wakati watu wenye kukaribia kufa* watakuwa wanalia kwa maumivu, wakati kutakuwa uchinjaji katikati yako, je, visiwa havitatetemeka?+
5 Atakuwa kiwanja cha kukaushia nyavu za* kukokotwa katikati ya bahari.’+ “‘Kwa maana mimi mwenyewe nimesema,’ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema, ‘na atakuwa kitu cha kunyanganywa na mataifa.
15 “Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anamuambia Tiro hivi: ‘Wakati sauti ya kuanguka kwako itasikika, wakati watu wenye kukaribia kufa* watakuwa wanalia kwa maumivu, wakati kutakuwa uchinjaji katikati yako, je, visiwa havitatetemeka?+