18 Yehova anasema hivi:
“Angalia, ninakusanya watu wenye walikamatwa mateka wa mahema ya Yakobo,+
Na nitasikilia tabenakulo zake huruma.
Muji utajengwa upya juu ya kilima chake,+
Na munara wenye ngome utasimama mahali pake penye kufaa.
19 Na kutoka kwao kutakuwa shukrani na sauti za kicheko.+
Nitawafanya waongezeke, na hawatakuwa watu kidogo;+
Nitawafanya kuwa wengi,
Na hawatakuwa watu bure.+