Isaya 4:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Wakati Yehova atasafisha uchafu wa* mabinti wa Sayuni+ na kusafisha umwangaji wa damu wa Yerusalemu kutoka ndani yake kwa roho ya hukumu na kwa roho ya kuteketeza kwa moto,*+ Isaya 48:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Angalia! Nimekusafisha, lakini hapana kama feza.+ Nimekujaribu* katika tanuru ya kuyeyushia ya mateso.+
4 Wakati Yehova atasafisha uchafu wa* mabinti wa Sayuni+ na kusafisha umwangaji wa damu wa Yerusalemu kutoka ndani yake kwa roho ya hukumu na kwa roho ya kuteketeza kwa moto,*+
10 Angalia! Nimekusafisha, lakini hapana kama feza.+ Nimekujaribu* katika tanuru ya kuyeyushia ya mateso.+