Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Isaya 6:11, 12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Basi nikasema: “Mupaka wakati gani, Ee Yehova?” Kisha akasema:

      “Mupaka miji ibomoke na kuwa mabomoko yenye haina mukaaji

      Na nyumba zikuwe bila watu,

      Na inchi iharibiwe na kuwa ukiwa;+

      12 Mupaka Yehova aondoe watu na kuwapeleka mbali+

      Na mupaka hali ya kuachwa ukiwa ya inchi ienee sana.

  • Yeremia 26:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 “Mika+ wa Moresheti alikuwa anatoa unabii katika siku za Mufalme Hezekia+ wa Yuda, na akaambia watu wote wa Yuda, ‘Yehova wa majeshi anasema hivi:

      “Sayuni italimwa kama shamba,

      Yerusalemu itakuwa marundo ya mabomoko,+

      Na mulima wa Nyumba* utakuwa kama mahali pa juu katika pori.”’*+

  • Maombolezo 2:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  5 Yehova amekuwa kama adui;+

      Amemeza Israeli.

      Amemeza minara yake yote;

      Ameharibu mahali pake pote penye ngome.

      Na katika binti ya Yuda anafanya kilio na maombolezo viongezeke.

  • Ezekieli 36:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 kwa hiyo, Enyi milima ya Israeli, musikie neno la Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova! Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anaambia hivi milima na vilima, mito midogo na mabonde, mabomoko yenye ukiwa,+ na miji yenye iliachwa yenye vitu vyake vimenyanganywa na yenye imechekelewa na wale wenye waliokoka wa mataifa yenye kuwazunguka;+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine