-
Isaya 6:11, 12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Basi nikasema: “Mupaka wakati gani, Ee Yehova?” Kisha akasema:
-
-
Maombolezo 2:5Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
5 Yehova amekuwa kama adui;+
Amemeza Israeli.
Amemeza minara yake yote;
Ameharibu mahali pake pote penye ngome.
Na katika binti ya Yuda anafanya kilio na maombolezo viongezeke.
-
-
Ezekieli 36:4Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
4 kwa hiyo, Enyi milima ya Israeli, musikie neno la Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova! Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anaambia hivi milima na vilima, mito midogo na mabonde, mabomoko yenye ukiwa,+ na miji yenye iliachwa yenye vitu vyake vimenyanganywa na yenye imechekelewa na wale wenye waliokoka wa mataifa yenye kuwazunguka;+
-