Hesabu 34:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 “Patia Waisraeli maagizo haya: ‘Wakati mutaingia katika inchi ya Kanaani,+ hiyo ndiyo inchi yenye itawaangukia kuwa uriti, inchi ya Kanaani kulingana na mipaka yake.+ Hesabu 34:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Mupaka huo utakunja kule Asimoni na kuelekea kwenye Bonde la Muto* la Misri, na kuishia kwenye Bahari.*+
2 “Patia Waisraeli maagizo haya: ‘Wakati mutaingia katika inchi ya Kanaani,+ hiyo ndiyo inchi yenye itawaangukia kuwa uriti, inchi ya Kanaani kulingana na mipaka yake.+
5 Mupaka huo utakunja kule Asimoni na kuelekea kwenye Bonde la Muto* la Misri, na kuishia kwenye Bahari.*+