-
Isaya 11:11, 12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Siku hiyo Yehova atatoa tena mukono wake, mara ya pili, ili kurudisha mabaki ya watu wake wenye walibakia katika Ashuru,+ katika Misri,+ katika Patrosi,+ katika Kushi,+ katika Elamu,+ katika Shinari,* katika Hamati, na katika visiwa vya bahari.+ 12 Atasimamisha alama* kwa ajili ya mataifa na kukusanya watu wa Israeli wenye walisambazwa,+ na watu wa Yuda wenye walisambazwa atawakusanya pamoja kutoka pembe ine (4) za dunia.+
-