Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 Katika mwaka wa kenda (9) wa Hoshea, mufalme wa Ashuru akakamata Samaria.+ Kisha akakamata na kupeleka watu wa Israeli katika uhamisho+ kule Ashuru na akawakalisha katika Hala na Habori kwenye muto Gozani+ na katika miji ya Wamedi.+

  • Isaya 11:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Na kutakuwa njia kubwa+ kutoka Ashuru kwa ajili ya mabaki ya watu wake wenye watabakia,+

      Kama vile ilikuwa kwa ajili ya Israeli siku yenye alitoka katika inchi ya Misri.

  • Hosea 9:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  3 Hawataendelea kukaa katika inchi ya Yehova;+

      Tofauti na hilo, Efraimu atarudia Misri,

      Na katika Ashuru watakula vitu vichafu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine