2 Wafalme 17:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Katika mwaka wa kenda (9) wa Hoshea, mufalme wa Ashuru akakamata Samaria.+ Kisha akakamata na kupeleka watu wa Israeli katika uhamisho+ kule Ashuru na akawakalisha katika Hala na Habori kwenye muto Gozani+ na katika miji ya Wamedi.+ Isaya 11:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Na kutakuwa njia kubwa+ kutoka Ashuru kwa ajili ya mabaki ya watu wake wenye watabakia,+Kama vile ilikuwa kwa ajili ya Israeli siku yenye alitoka katika inchi ya Misri. Hosea 9:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Hawataendelea kukaa katika inchi ya Yehova;+Tofauti na hilo, Efraimu atarudia Misri,Na katika Ashuru watakula vitu vichafu.+
6 Katika mwaka wa kenda (9) wa Hoshea, mufalme wa Ashuru akakamata Samaria.+ Kisha akakamata na kupeleka watu wa Israeli katika uhamisho+ kule Ashuru na akawakalisha katika Hala na Habori kwenye muto Gozani+ na katika miji ya Wamedi.+
16 Na kutakuwa njia kubwa+ kutoka Ashuru kwa ajili ya mabaki ya watu wake wenye watabakia,+Kama vile ilikuwa kwa ajili ya Israeli siku yenye alitoka katika inchi ya Misri.
3 Hawataendelea kukaa katika inchi ya Yehova;+Tofauti na hilo, Efraimu atarudia Misri,Na katika Ashuru watakula vitu vichafu.+