‘Kwa sababu Yuda ameasi mara tatu (3),+ na kwa sababu ameasi mara ine (4), sitabadilisha hilo,
Kwa sababu walikataa sheria ya Yehova,
Na kwa sababu hawakufuata masharti yangu;+
Lakini wamepotoshwa na uongo wenye mababu zao walifuata.+
5 Kwa hiyo nitatuma moto katika Yuda,
Na utateketeza minara yenye ngome ya Yerusalemu.’+