-
Matayo 16:21Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
21 Tangu wakati huo, Yesu akaanza kufasiria wanafunzi wake kama ni lazima aende Yerusalemu na ateswe sana na wazee na wakubwa wa makuhani na waandishi na auawe, na siku ya tatu (3) afufuliwe.+
-
-
Luka 23:24, 25Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
24 Kwa hiyo Pilato akaamua kwamba ombi lao litimizwe. 25 Akamufungua ule mutu mwenye walikuwa wanaomba, ule mwenye alikuwa ametupwa katika gereza kwa sababu alishiriki katika uasi na kwa sababu ya mauaji, lakini akamutia Yesu katika mikono yao ili wamufanyie namna wanataka.
-