Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yohana 11:24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Marta akamuambia: “Ninajua atafufuka katika ufufuo+ katika siku ya mwisho.”

  • Matendo 17:31
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 31 Kwa sababu ameweka siku yenye anakusudia kuhukumu+ kwa haki dunia yenye kuikaliwa na watu kupitia mwanaume mwenye ameweka, na ametoa uhakikisho kwa watu wote kwa kuwa amemufufua kutoka kwa wafu.”+

  • 1 Watesalonike 4:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni na mwito wenye amri, pamoja na sauti ya malaika mukubwa+ na tarumbeta ya Mungu, na wale wenye walikufa katika umoja na Kristo watafufuliwa kwanza.+

  • Ufunuo 20:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Na nikaona wafu, wakubwa na wadogo, wamesimama mbele ya kile kiti cha ufalme, na vitabu vya kukunjwa vikafunguliwa. Lakini kitabu kingine cha kukunjwa kikafunguliwa; hicho ni kitabu cha kukunjwa cha uzima.+ Wafu wakahukumiwa kupatana na yale mambo yenye kuandikwa katika vile vitabu vya kukunjwa kulingana na matendo yao.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine