Yohana 7:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Yesu naye akawaambia: “Mambo yenye ninafundisha haiko yangu, lakini ni ya ule mwenye alinituma.+ Yohana 8:28 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 28 Kisha Yesu akasema: “Wakati mutakuwa mumeinua Mwana wa binadamu,+ ndipo mutajua kwamba mimi ndiye,+ na kwamba sifanye jambo lolote kwa uamuzi wangu mwenyewe;+ lakini kama vile Baba alinifundisha, ni vile ninasema mambo haya. Yohana 12:49 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 49 Kwa maana sikusema kwa uamuzi wangu mwenyewe, lakini Baba mwenye alinituma, yeye mwenyewe amenipatia amri juu ya jambo la kusema na la kufundisha.+
28 Kisha Yesu akasema: “Wakati mutakuwa mumeinua Mwana wa binadamu,+ ndipo mutajua kwamba mimi ndiye,+ na kwamba sifanye jambo lolote kwa uamuzi wangu mwenyewe;+ lakini kama vile Baba alinifundisha, ni vile ninasema mambo haya.
49 Kwa maana sikusema kwa uamuzi wangu mwenyewe, lakini Baba mwenye alinituma, yeye mwenyewe amenipatia amri juu ya jambo la kusema na la kufundisha.+