Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Marko 7:21, 22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Kwa maana ndani ya watu, katika mioyo yao,+ munatoka mawazo ya mubaya: uasherati,* wizi, mauaji, 22 matendo ya uzinifu, pupa, matendo ya uovu, udanganyifu, mwenendo mupotovu wa bila haya,* jicho lenye wivu, matukano juu ya Mungu, majivuno, na upumbavu.

  • Waefeso 4:19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Kisha kuishiwa na ufahamu wote wa mambo yenye kuwa sawa, wamejitoa wenyewe katika mwenendo mupotovu wa bila haya*+ ili kufanya kwa pupa kila namna ya ukosefu wa usafi.

  • 2 Petro 2:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Zaidi ya hayo, wengi watafuata mwenendo wao mupotovu wa bila haya,*+ na kwa sababu yao ile njia ya kweli itatukanwa.+

  • Yuda 4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Sababu yangu ya kuwaandikia ni kwamba watu fulani wameingia kwa siri kati yenu; Maandiko yalisema tangu zamani kama wanastahili hukumu hii; watu hao hawamuogope Mungu, wanatumia fazili zenye hazistahiliwe za Mungu wetu kama kisingizio cha kuwa na mwenendo mupotovu wa bila haya,*+ na wanakana ule mumoja tu mwenye sisi ni mali yake na pia ni Bwana wetu, Yesu Kristo.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine