10 Kwa maana kwa kuwa Sheria iko na kivuli+ cha mambo ya muzuri yenye yatakuja,+ lakini hapana umbo ya kweli ya mambo hayo, haiwezi hata kidogo, kwa zabihu zilezile zenye zinaendelea kutolewa mwaka kwa mwaka, kufanya wale wenye wanakaribia wakuwe wakamilifu.+