Mezali 19:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Ufahamu wa mutu hakika unatuliza kasirani yake,+Na ni uzuri kwake kuachilia* kosa.+ Waefeso 4:32 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 32 Lakini mukuwe wenye fazili ninyi kwa ninyi, wenye huruma nyingi,*+ na musameheane kwa kupenda kama vile Mungu kupitia Kristo aliwasamehe ninyi kwa kupenda.+ 1 Petro 4:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Zaidi ya mambo yote, mukuwe na upendo mwingi ninyi kwa ninyi,+ kwa sababu upendo unafunika zambi nyingi.+
32 Lakini mukuwe wenye fazili ninyi kwa ninyi, wenye huruma nyingi,*+ na musameheane kwa kupenda kama vile Mungu kupitia Kristo aliwasamehe ninyi kwa kupenda.+
8 Zaidi ya mambo yote, mukuwe na upendo mwingi ninyi kwa ninyi,+ kwa sababu upendo unafunika zambi nyingi.+