-
Mwanzo 27:27-29Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
27 Kwa hiyo akaenda karibu na akamubusu, na Isaka akanusa harufu ya nguo zake.+ Kisha akamubariki na kusema:
“Angalia, harufu ya mwana wangu iko kama harufu ya shamba lenye Yehova amebariki. 28 Mungu wa kweli akupatie umande wa mbinguni+ na udongo wenye mbolea wa dunia+ na nafaka nyingi na divai mupya.+ 29 Vikundi vya watu vikutumikie, na mataifa yakuinamie. Ukuwe bwana juu ya ndugu zako, na wana wa mama yako wakuinamie.+ Alaaniwe kila mutu mwenye anakulaani, na abarikiwe kila mutu mwenye anakubariki.”+
-