Matayo 13:19 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 19 Wakati mutu anasikia neno la Ufalme lakini haelewe maana yake, ule muovu+ anakuja na kunyanganya kile kilipandwa katika moyo wake; hiyo ndiyo mbegu yenye ilipandwa pembeni ya barabara.+ Luka 4:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Kisha Ibilisi akamuambia: “Nitakupatia mamlaka yote hii na utukufu wake, kwa sababu nimeipewa,+ na ninaipatia mutu yeyote mwenye ninataka. Yohana 12:31 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 31 Sasa ulimwengu huu unahukumiwa; sasa mutawala wa ulimwengu huu+ atatupwa inje.+
19 Wakati mutu anasikia neno la Ufalme lakini haelewe maana yake, ule muovu+ anakuja na kunyanganya kile kilipandwa katika moyo wake; hiyo ndiyo mbegu yenye ilipandwa pembeni ya barabara.+
6 Kisha Ibilisi akamuambia: “Nitakupatia mamlaka yote hii na utukufu wake, kwa sababu nimeipewa,+ na ninaipatia mutu yeyote mwenye ninataka.