Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • scl uku. 24-26
  • Kitulizo

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kitulizo
  • Maandiko ya Kutusaidia mu Maisha ya Kikristo
Maandiko ya Kutusaidia mu Maisha ya Kikristo
scl uku. 24-26

Kitulizo

Maandiko ya Biblia ya kututuliza mu hali fulani zenye kuvunja moyo

Uchungu

Ona “Mahangaiko”

Kinyongo

Watu fulani wako na uchungu juu ya magumu

Muh 9:​11, 12

Ona pia Zb 142:4; Muh 4:1; 7:7

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Rut 1:​11-13, 20—Kisha kufisha bwana na watoto wawili, Naomi anajisikia mubaya na anawaza kama Yehova amemuacha

    • Yob 3:​1, 11, 25, 26; 10:1—Kisha kupoteza mali, kufisha watoto wake, na kupigwa na ungojwa wa nguvu, Yobu iko mwenye uchungu sana

  • Maandiko yenye kutia moyo:

    • Ro 12:19; Yak 1:13

  • Habari za Biblia zenye kutia moyo:

    • Rut 1:​6, 7, 16-18; 2:​2, 19, 20; 3:1; 4:​14-16—Kisha kujiunga tena na watu wa Mungu, kupata musaada wa wengine, na kusaidia wengine, Naomi anakuwa tena na furaha

    • Yob 42:​7-16; Yak 5:11—Kwa imani, Yobu anavumilia na Yehova anamubariki sana

Watu fulani wako na uchungu juu wengine wamewatendea mubaya

Muh 4:​1, 2

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • 1Sa 1:​6, 7, 10, 13-16—Hana iko na uchungu sana juu Penina iko namutendea mubaya na Kuhani Mukubwa Eli anamuhukumu kwa kukosea

    • Yob 8:​3-6; 16:​1-5; 19:​2, 3—Wafariji watatu wa uongo wa Yobu, wanajiona kuwa wenye haki, wanamuhukumu Yobu na ile inafanya Yobu ajisikie mubaya

  • Maandiko yenye kutia moyo:

    • Zb 37:​8, 9; Efe 4:26

  • Habari za Biblia zenye kutia moyo:

    • 1Sa 1:​9-11, 18—Hana anapata kitulizo kisha kumufungulia Yehova moyo wake

    • Yob 42:​7, 8, 10, 17—Kisha Yobu kusamehe marafiki wake wa uongo, Yehova anafanya akuwe tena na afya ya muzuri na akuwe tena na furaha

Kujihukumu kupita kiasi

Ezr 9:6; Zb 38:​3, 4, 8; 40:12

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • 2Fa 22:​8-13; 23:​1-3—Mufalme Yosia na watu wake wanatambua makosa yao makubwa kisha wao kusomewa Sheria ya Musa kwa sauti kubwa

    • Ezr 9:​10-15; 10:​1-4—Ezra na Waisraeli wanajisikia mubaya sana kisha wao kujua kama wamoja kati yao wanakatala kumutii Yehova kwa kuoa wanamuke wa mataifa ingine

    • Lu 22:​54-62—Mutume Petro anajisikia mubaya sana kisha kumukana Yesu mara tatu

  • Maandiko yenye kutia moyo:

    • Zb 32:5; 103:​9-14; Isa 1:18; Mdo 3:19

    • Ona pia Isa 38:17; Mik 7:​18, 19

  • Habari za Biblia zenye kutia moyo:

    • 2Ny 33:​9-13, 15, 16—Manase ni moya kati ya Wafalme wabaya sana wa Yuda, lakini, anatubu na anapata rehema

    • Lu 15:​11-32—Yesu anazungumuzia mufano wa mwana mupotevu juu ya kuonyesha kama Yehova anakuwaka tayari kusamehe na anasameheaka kwa njia kubwa

Kuhuzunika wakati wengine wanakatala kututegemeza, wanatuumiza, ao hata kutusaliti

Ona “Huzuni”

Kuhuzunika juu ya makosa na zambi zetu

Ona “Huzuni”

Kujiona kuwa hatuko wa maana

Ona “Mashaka”

Kuwaza kama hatutamaliza tatizo fulani ao kutimiza mugao fulani

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Kut 3:11; 4:10—Musa anawaza kama hataweza kukutana na Farao na kuongoza watu wa Mungu kutoka Misri

    • Yer 1:​4-6—Yeremia anawaza kama angali kijana sana na kama hataweza kuwa nabii wa Yehova kwa watu wenye kuwa na mioyo migumu

  • Maandiko yenye kutia moyo:

    • Zb 29:11; Isa 40:29; 2Ko 3:​4, 5; 4:7

  • Habari za Biblia zenye kutia moyo:

    • Kut 3:12; 4:​11, 12—Kwa uvumilivu, Yehova anahakikishia nabii Musa kama atamusaidia mu mugao wake

    • Yer 1:​7-10—Yehova anahakikishia nabii Yeremia kama atamusaidia mu migao yake ya nguvu

Wivu

Ona “Wivu”

Mipaka yenye inatokana na magonjwa ao uzee

Zb 71:​9, 18; Muh 12:​1-7

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • 2Fa 20:​1-3—Mufalme Hezekia anasikia mubaya sana juu anagonjwa karibu akufe

    • Flp 2:​25-30—Epafrodito anasikia mubaya sana juu kutaniko inajua kama iko mugonjwa; ile inafanya aogope kuwa watawaza kama anashindwa kutimiza mugao wake

  • Maandiko yenye kutia moyo:

    • Zb 92:​12-14; Isa 40:​29-31; 46:4; 2Ko 8:12

  • Habari za Biblia zenye kutia moyo:

    • 2Sa 17:​27-29; 19:​31-38—Mufalme anamuheshimia sana Barzilai na kumuomba aende Yerusalemu. Lakini, kwa kiasi Barzilai anakatala ile Mwaliko juu alikuwa alishazeeka sana

    • Zb 41:​1-3, 12—Daudi anagonjwa sana, lakini iko hakika kama Yehova atamutegemeza

    • Mk 12:​41-44—Yesu anapongeza mujane maskini juu ya muchango yake, juu anatoa yote yenye iko nayo

Kuhuzunika kwa wakati murefu juu ya kutendewa mubaya na wengine

Ona “Kutendewa Mubaya”

Woga wa nguvu

Ona “Woga”

Mateso

Ona “Mateso”

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine