Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • scl uku. 76-77
  • Nizamu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Nizamu
  • Maandiko ya Kutusaidia mu Maisha ya Kikristo
Maandiko ya Kutusaidia mu Maisha ya Kikristo
scl uku. 76-77

Nizamu

Juu ya nini mu Biblia njo munakuwaka nizamu ya kweli?

Mez 1:​1-3; 2Ti 3:16

Juu ya nini siye wote tuko na lazima ya kuongozwa na kurekebishwa?

Mez 16:​2, 25; Yer 10:23

Ona pia Yer 17:9

Nizamu yenye Yehova anatupatia inaonyesha nini?

Mez 3:​11, 12; Ebr 12:​7-9

Ona pia Kum 8:5; Mez 13:24; Ufu 3:19

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • 2Sa 12:​9-13; 1Fa 15:5; Mdo 13:22—Hata kama Mufalme Daudi anafanya zambi nzito sana, Yehova anamupatia nizamu kwa upendo na anamusamehe

    • Yon 1:​1-4, 15-17; 3:​1-3—Yehova anamupatia nabii Yona nizamu juu alikatala kuenda mu mugao wake, lakini kisha anamupatia nafasi ingine

Juu ya nini tunapaswa kukamata kwa uzito nizamu yenye Yehova anatupatia?

Mez 9:8; 12:1; 17:10; Ebr 12:​5, 6

Ona pia 2Ny 36:​15, 16

Wale wenye wanakatala nizamu ya Mungu wanaweza kupatwa na nini?

Mez 1:​24-26; 13:18; 15:32; 29:1

Ona pia Yer 7:​27, 28, 32-34

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Yer 5:​3-7—Watu wa Mungu wanafanya mioyo yao kuwa ngumu na wanakatala kubadilika kisha kupewa nizamu, ile inafanya wapewe tena nizamu ya nguvu zaidi

    • Sef 3:​1-8—Juu wakaaji wa Yerusalemu wanakatala nizamu kutoka kwa Yehova, wanapata magumu

Kukubali nizamu ya Yehova kunaletaka faida gani?

Mez 4:13; 1Ko 11:32; Tit 1:13; Ebr 12:​10, 11

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Kum 30:​1-6—Nabii Musa anaambia watu kama ikiwa wanamusikiliza Yehova watapata baraka

    • 2Ny 7:​13, 14—Yehova anamuambia Mufalme Sulemani faida zenye atapata kama anakubali nizamu ya Yehova

Nizamu yenye wengine wanapewa inaweza kutusaidia namna gani?

1Ko 10:​6-11; 1Ti 5:20

Juu ya nini hatupaswe kufurahi wakati wengine wanapewa nizamu ya nguvu?

Mez 17:5; 24:17; Oba 12

Tunapaswa kufanya nini juu nizamu na mashauri ya Mungu ituletee faida?

Yos 1:8; Yak 1:25

Ona pia Kum 17:​18, 19; Zb 119:97

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • 1Ny 22:​11-13—Mufalme Daudi anamuahidi mutoto wake Sulemani kama Yehova atamubariki ikiwa anaendelea kufuata muongozo wa Yehova

    • Zb 1:​1-6—Yehova anaahidi kama atabariki wale wenye kusoma sheria yake na kuitafakari

Juu ya nini wazazi wenye upendo wanapaswa kupatia watoto wao nizamu?

Ona “Wazazi”

Juu ya nini watoto wanapaswa kukubali nizamu ya wazazi?

Ona “Familia—Watoto”

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine