Programu ya Juma Tokea Tarehe 2 Mwezi wa 6
JUMA TOKEA TAREHE 2 MWEZI WA 6
Wimbo 134 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura. 8 fu. 1-8 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kutoka 38-40 (Dak. 10)
Na. 1: Kutoka 40:20-38 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Sabato Inamaanisha Nini kwa Wakristo?—rs uku. 254; maelezo ya sasa: w11 7/15 uku. 28 fu. 16-17 (Dak. 5)
Na. 3: Abrahamu (Abraham): Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo Yanashuhudia Kwamba Abrahamu Aliishi Kwelikweli—(it-1-F uku. 31 fu. 2-3) (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 115
Dak. 10: Tolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa Sita. Mazungumuzo. Anza na onyesho kuhusu namna ya kuwatolea watu magazeti kwa kutumia mapendekezo yanayopatikana kwenye ukurasa huu. Kisha, muzungumuzie kila pendekezo mwanzo mupaka mwisho. Malizia kwa kuwatia moyo wasikilizaji waelewe muzuri habari zilizo katika magazeti hayo mawili na wayatolee watu kwa bidii.
Dak. 10: Mahitaji ya Kutaniko.
Dak. 10: Tulitumika Namna Gani? Mazungumuzo. Omba wahubiri waeleze namna gani walifaidika kwa kutumikisha mashauri tuliojifunza katika sehemu “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Tayarisha Maneno Yako ya Utangulizi.” Omba wasikilizaji waeleze mambo ambayo walikutana nayo yenye kufurahisha.
Wimbo 44 na Sala