UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | 2 MAMBO YA NYAKATI 29-32
Ibada ya Kweli Inahitaji Bidii
Maandishi
Hezekia anarudisha ibada ya kweli kwa moyo wake wote
29:10-17
746-716 M.K.Y.
Utawala wa Hezekia
NISANI 746 M.K.Y.
Siku 1-8: Hekalu inasafishwa
Siku 9-16: Kutakaswa kwa Hekalu kunamalizika
Kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli yote na kurudishwa kwa ibada ya kweli kunaanza
740 M.K.Y.
Kuharibiwa kwa Muji wa Samaria
Hezekia anaalika wote wenye kuwa na moyo wenye kufaa wakusanyike kwa ajili ya ibada
30:5, 6, 10-12
Wakimbiaji walitumwa ili kugawa barua zenye kutangaza Pasaka katika inchi kuanzia Beer-sheba mupaka Dani
Hata kama watu fulani walizarau, wengi walikubali