Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 1 uku. 3
  • Ibada ya Kweli Inahitaji Bidii

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ibada ya Kweli Inahitaji Bidii
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Habari za Kufanana na Zile
  • ‘Aliendelea Kushikamana na Yehova’
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Ni Nani Walio Wachungaji Saba na Watawala Wadogo Wanane Leo?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • “Ee Yehova, . . . Nimekutegemea Wewe”
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 1 uku. 3

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | 2 MAMBO YA NYAKATI 29-32

Ibada ya Kweli Inahitaji Bidii

Maandishi
Hekalu la Sulemani katika Yerusalemu

Hezekia anarudisha ibada ya kweli kwa moyo wake wote

29:10-17

  • 746-716 M.K.Y.

    Utawala wa Hezekia

  • NISANI 746 M.K.Y.

    • Siku 1-8: Hekalu inasafishwa

    • Siku 9-16: Kutakaswa kwa Hekalu kunamalizika

    • Kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli yote na kurudishwa kwa ibada ya kweli kunaanza

  • 740 M.K.Y.

    Kuharibiwa kwa Muji wa Samaria

Hezekia anaalika wote wenye kuwa na moyo wenye kufaa wakusanyike kwa ajili ya ibada

30:5, 6, 10-12

  • Wakimbiaji walitumwa ili kugawa barua zenye kutangaza Pasaka katika inchi kuanzia Beer-sheba mupaka Dani

  • Hata kama watu fulani walizarau, wengi walikubali

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine