Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 5 uku. 4
  • Ili Tukuwe na Amani Pamoja na Yehova Tunapaswa Kuheshimia Yesu, Mwana Wake

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ili Tukuwe na Amani Pamoja na Yehova Tunapaswa Kuheshimia Yesu, Mwana Wake
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Heshimia Wale Wenye Kustahili Heshima
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
  • Mutu wa Maana Sana Katika Maisha Yako Ni Nani?
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Acheni sote tutukuze Yehova na Mwana wake
    Huduma Yetu ya Ufalme—2001
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 5 uku. 4

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU ZABURI 1-10

Ili Tukuwe na Amani Pamoja na Yehova Tunapaswa Kuheshimia Yesu, Mwana Wake

Ilitabiriwa kama watu watamuchukia Yehova na Yesu

2:1-3

Masiya Mufalme, Yesu Kristo, kwenye kiti chake cha Ufalme iko na fimbo
  • Ilikuwa imetabiriwa kama mataifa hayatakubali mamlaka ya Yesu lakini watatetea mamlaka yao

  • Unabii huo ulitimia wakati Yesu alikuwa hapa duniani na unatimia kwa njia kubwa leo

  • Muandikaji mumoja wa Zaburi alisema kama mataifa yanaendelea kusema mambo ya upuuzi, ni kusema, mupango wao ni wa upuuzi na watashindwa

Wale wenye kuheshimia Mufalme mutiwa-mafuta wa Yehova ndio tu watapata uzima

2:8-12

  • Watu wote wenye kumupinga Masiya Mufalme wataharibiwa

  • Watu wanaweza kupata amani na usalama kwa kuheshimia Yesu, Mwana wa Mungu

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine