UTAJIRI WA NENO LA MUNGU ZABURI 1-10
Ili Tukuwe na Amani Pamoja na Yehova Tunapaswa Kuheshimia Yesu, Mwana Wake
Ilitabiriwa kama watu watamuchukia Yehova na Yesu
2:1-3
Ilikuwa imetabiriwa kama mataifa hayatakubali mamlaka ya Yesu lakini watatetea mamlaka yao
Unabii huo ulitimia wakati Yesu alikuwa hapa duniani na unatimia kwa njia kubwa leo
Muandikaji mumoja wa Zaburi alisema kama mataifa yanaendelea kusema mambo ya upuuzi, ni kusema, mupango wao ni wa upuuzi na watashindwa
Wale wenye kuheshimia Mufalme mutiwa-mafuta wa Yehova ndio tu watapata uzima
2:8-12
Watu wote wenye kumupinga Masiya Mufalme wataharibiwa
Watu wanaweza kupata amani na usalama kwa kuheshimia Yesu, Mwana wa Mungu