Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mwezi wa 6 uku. 5
  • Tarehe 19-25 Mwezi wa 6

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 19-25 Mwezi wa 6
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
mwb17 Mwezi wa 6 uku. 5

Tarehe 19-25/06

EZEKIELI 1-5

  • Wimbo 75 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Ezekieli Alifurahia Kutangaza Ujumbe wa Mungu”: (Dak. 10)

    • [Muangalie video ya Utangulizi wa Kitabu cha Ezekieli.]

    • Eze 2:9–3:2​—Ezekieli alikula kitabu cha kukunjwa cha “huzuni na maombolezo na vilio” (w08 15/7 uku. 8 fu. 6-7; it-1 uku. 1203)

    • Eze 3:3​—Ezekieli alifurahia kuwa nabii wa Yehova (w07 1/7 uku. 12 fu. 3)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Eze 1:20, 21, 26-28​—Gari la mbinguni linafananisha nini? (w07 1/7 uku. 11 fu. 6)

    • Eze 4:1-7​— Je, kweli Ezekieli alifanya kabisa mambo yenye kutajwa katika andiko hili ili kuonyesha kama kuzingirwa kwa Yerusalemu kulikuwa kumekaribia? (w07 1/7 uku. 12 fu. 4)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Eze 1:1-14

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) T-32​—Umutayarishe mutu ili kumurudilia.

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) T-32​—Onyesha video ya utangulizi wa broshua Familia Yenu Inaweza Kuwa na Furaha, kisha umuachie mutu broshua.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) bh uku. 142-143 fu. 20-21​—Onyesha namna ya kugusa moyo wa mwanafunzi.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 153

  • “Furahia Kutangaza Habari Njema”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Kujifunza na Kutafakari Kutakuletea Tena Furaha.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 14 fungu 1-7

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 32 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine