Tarehe 19-25/06
EZEKIELI 1-5
Wimbo 75 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Ezekieli Alifurahia Kutangaza Ujumbe wa Mungu”: (Dak. 10)
[Muangalie video ya Utangulizi wa Kitabu cha Ezekieli.]
Eze 2:9–3:2—Ezekieli alikula kitabu cha kukunjwa cha “huzuni na maombolezo na vilio” (w08 15/7 uku. 8 fu. 6-7; it-1 uku. 1203)
Eze 3:3—Ezekieli alifurahia kuwa nabii wa Yehova (w07 1/7 uku. 12 fu. 3)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Eze 1:20, 21, 26-28—Gari la mbinguni linafananisha nini? (w07 1/7 uku. 11 fu. 6)
Eze 4:1-7— Je, kweli Ezekieli alifanya kabisa mambo yenye kutajwa katika andiko hili ili kuonyesha kama kuzingirwa kwa Yerusalemu kulikuwa kumekaribia? (w07 1/7 uku. 12 fu. 4)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Eze 1:1-14
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) T-32—Umutayarishe mutu ili kumurudilia.
Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) T-32—Onyesha video ya utangulizi wa broshua Familia Yenu Inaweza Kuwa na Furaha, kisha umuachie mutu broshua.
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) bh uku. 142-143 fu. 20-21—Onyesha namna ya kugusa moyo wa mwanafunzi.
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 153
“Furahia Kutangaza Habari Njema”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Kujifunza na Kutafakari Kutakuletea Tena Furaha.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 14 fungu 1-7
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 32 na Sala