Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb22 Mwezi wa 11 uku. 6
  • Juu ya Nini Wakristo Wanapaswa Kujikaza Kufikia Madaraka?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Juu ya Nini Wakristo Wanapaswa Kujikaza Kufikia Madaraka?
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Miradi Yenye Dada Wanaweza Kujiwekea
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Jinsi ya Kufikia Miradi Yako ya Kumtumikia Mungu
    Huduma Yetu ya Ufalme—2006
  • ‘Mume Wake Ni Mutu Anayejulikana Malangoni’
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Tuonyeshe Sifa Zenye Kumupendeza Mungu—Imani
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
mwb22 Mwezi wa 11 uku. 6

MAISHA YA MUKRISTO

Juu ya Nini Wakristo Wanapaswa Kujikaza Kufikia Madaraka?

Ndugu na dada wanajikazaka kufikia miradi ya kiroho, sawa vile kuwa painia, kutumikia ku Beteli, na mu kazi ya ujenzi wa Majumba ya Ufalme. Zaidi ya ile, ndugu wanajikazaka juu wafikie kuwa waangalizi. (1Ti 3:1) Je, ile inamaanisha kama Wakristo wanapaswa kuwa na kimbelembele na kujikaza kufikia madaraka juu ya kuwaza kama ile itafanya waonekane kuwa maana?

MUANGALIE VIDEO JUU YA NINI UJIKAZE KUFIKIA MADARAKA? (1TI 3:1), NA KISHA MUZUNGUMUZIE HII MAULIZO:

Namna gani maandiko yenye kufuata inaweza kutusaidia tutambue sababu tatu zenye zinapaswa kutuchochea tujikaze kufikia madaraka?

  • Mt 5:14-16

  • 1Ti 4:15

  • Ebr 5:14–6:1

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine