Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 6 uku. 6
  • “Mungu Ni Musaidizi Wangu”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Mungu Ni Musaidizi Wangu”
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Habari za Kufanana na Zile
  • ‘Umutupie Yehova Muzigo Wako’
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Yehova Anasaidia Wale Wanaomtegemea
    Huduma Yetu ya Ufalme—2004
  • Kumtegemea Yehova Kikamili Kunatuchochea Kuwa na Uhakika
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Yehova Anategemeza Wagonjwa
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 6 uku. 6

MAISHA YA MUKRISTO

“Mungu Ni Musaidizi Wangu”

Zaburi ya 52-59 zinaonyesha namna Daudi alijisikia wakati alipambana na hali ngumu mbalimbali katika maisha yake. Lakini aliendelea kumutegemea Yehova katika hali hizo ngumu. (Zab 54:4; 55:22) Pia, alimusifu Yehova kwa sababu ya Neno lake. (Zab 56:10) Sisi pia tunaendelea kuonyesha Imani na tunamutegemea Mungu kama Daudi? Wakati tunapambana na magumu, tunatafuta muongozo katika Neno lake? (Met 2:6) Ni maandiko gani yalikusaidia wakati . . .

  • ulivunjika moyo?

  • uligonjwa?

  • wengine walikukosea?

  • uliteswa?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine