Maelezo ya Chini
a Tofauti na hilo Biblia inafundisha kama watu waliokufa ambao hawatafufuliwa wako katika “Gehena” wala si katika Sheoli, ao Hadesi. (Mathayo 5:30; 10:28; 23:33) Gehena pia ni mahali pa mufano, kama vile Sheoli na Hadesi ni mahali pa mufano.