Maelezo ya Chini
f Mutu fulani mwenye elimu ya Biblia alisema hivi kuhusu maneno ya Paulo kwamba alikuwa anasafiri “katikati ya muchana:” “Kwa kawaida, watu wenye kusafiri walikuwa wanapumuzika katikati ya muchana kwa sababu ya joto yenye ilikuwa ile saa. Hawakupumuzika ikiwa tu walikuwa na jambo ya haraka sana ya kufanya. Ile inatusaidia kuelewa namna Paulo alikuwa ameazimia kabisa kutesa Wakristo.”