Maelezo ya Chini
a Mifupa yenye Ezekieli aliona mu maono haikukuwa ya watu wenye walikufa kifo cha kawaida, lakini ilikuwa ya “watu wenye waliuawa.” (Eze. 37:9) Kwa kweli, “nyumba muzima ya Israeli” iliuawa mu njia ya mufano wakati wakaaji wa ufalme wa makabila kumi ya Israeli na wale wa ufalme wa makabila mbili ya Yuda walishindwa, wakakamatwa mateka, na wakapelekwa mu uhamisho wa Waashuru na wa Wababiloni.