Maelezo ya Chini
b MAFASIRIO YA MANENO FULANI: Utumishi wa Kikristo unatia ndani sehemu mbalimbali za kazi ya kuhubiri na kufundisha, kazi ya kujenga na ya kutunza majengo yenye kutumiwa kwa ajili ya faida za Ufalme, na kazi ya kutoa misaada wakati wa misiba.—2 Ko. 5:18, 19; 8:4.