Maelezo ya Chini
b MAFASIRIO YA PICHA: Picha tatu zenye kuonyesha mambo yenye kufanyika mbele ya mukutano, wakati wa mukutano, na kisha mukutano. Picha ya 1: Muzee mumoja wa kutaniko anasalimia mugeni kwa uchangamufu, ndugu mumoja kijana anatayarisha vifaa vya sauti, na dada mumoja iko anaongea na dada mwenye kuzeeka. Picha ya 2: Vijana na watu wakubwa wanainua mikono yao ili kujibu wakati wa Funzo la Munara wa Mulinzi. Picha ya 3: Bibi na bwana wanasaidia kusafisha Jumba la Ufalme. Mama anasaidia mutoto wake atie feza mu kisanduku cha michango. Ndugu mumoja kijana iko anapanga vichapo, na ndugu mwingine iko anatia moyo dada mwenye kuzeeka.