Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

b Wakati fulani, wazee wanapaswa kuhukumu mambo yenye inahusu zambi nzito na kuamua ikiwa mutu ametubu, ao hapana. (1 Ko. 5:11; 6:5; Yak. 5:14, 15) Lakini kwa unyenyekevu, wanajua kama hawawezi kusoma moyo na kama wanahukumu kwa ajili ya Yehova. (Linganisha na 2 Mambo ya Nyakati 19:6.) Wakati wanahukumu, wanajikaza kumuiga Yehova kwa kuwa wenye usawaziko, rehema, na haki.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine