Maelezo ya Chini
b Wakati fulani, wazee wanapaswa kuhukumu mambo yenye inahusu zambi nzito na kuamua ikiwa mutu ametubu, ao hapana. (1 Ko. 5:11; 6:5; Yak. 5:14, 15) Lakini kwa unyenyekevu, wanajua kama hawawezi kusoma moyo na kama wanahukumu kwa ajili ya Yehova. (Linganisha na 2 Mambo ya Nyakati 19:6.) Wakati wanahukumu, wanajikaza kumuiga Yehova kwa kuwa wenye usawaziko, rehema, na haki.