Maelezo ya Chini
a Yobu, mutumishi muaminifu wa Yehova, alianza kuhangaikia sana namna bengine balimuona wakati barafiki yake batatu balisema kama alifanya jambo fulani ya mubaya. Ku mwanzo wakati Yobu alipoteza bitu yake yote, na batoto yake bote bakakufa, “hakutenda zambi kwa midomo yake.” (Yob. 1:22; 2:10) Lakini wakati barafiki yake balisema kama alifanya jambo fulani ya mubaya, alianza “mazungumuzo ya ovyoovyo.” Alijitetea kuliko kutakasa jina ya Mungu.—Yob. 6:3; 13:4, 5; 32:2; 34:5.