Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Tyndale alitumia jina “Iehouah” mu tafsiri yake ya vitabu tano vya kwanza vya Biblia. Kadiri wakati ilipita, luga ya Kiingereza iliendelea kubadilika. Kwa hiyo, jina ya Mungu ilianza kuandikwa kulingana na namna watu walikuwa wanaandika ile wakati. Kwa mufano, mu mwaka wa 1612, Henry Ainsworth alitumia jina “Iehovah” mu tafsiri yake yote ya kitabu ya Zaburi. Wakati alirekebisha ile tafsiri mu mwaka wa 1639, alitumia jina “Jehovah.” Vilevile, watafsiri wa Biblia ya American Standard Version yenye ilichapishwa mu mwaka wa 1901, walitumia jina “Jehovah” kila fasi kwenye jina ya Mungu ilipatikana mu maandishi ya Kiebrania.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine