Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • rsg18 uku. 139-145
  • Ulimwengu wa Shetani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ulimwengu wa Shetani
  • Kitabu Kinachosaidia Mashahidi wa Yehova Kutafuta Habari—Kitabu cha 2018
  • Vichwa Vidogo
  • Serikali Mbalimbali
  • Uvunjaji wa Sheria na Jeuri
  • Vita
  • Mambo Yenye Kuhusu Maisha ya Watu
  • Ulimwengu wa Wafanyabiashara
  • Mambo Yenye Kuhusu Mazingira
  • Roho ya Ulimwengu
  • Tabia Zenye Kufanya Watu Watumwa
  • Vyombo vya Kutangaza Habari
  • Armagedoni
Kitabu Kinachosaidia Mashahidi wa Yehova Kutafuta Habari—Kitabu cha 2018
rsg18 uku. 139-145

Ulimwengu wa Shetani

Ona pia Yehova Mungu ➤ Sababu Gani Mungu Anaacha Mateso na Uovu Viendelee

❐ Munara wa Mulinzi, 1/10/2012

Rushwa​—Imeenea Kadiri Gani?

Sababu Gani Rushwa Haiishe?

Je, Inawezekana Kufuatia Haki Katika Dunia Hii Yenye Kujaa Rushwa?

Rushwa Itaisha!

❐ Amuka!, 7/2012

Wewe Ungebadili Nini?

Ni Nini Lazima Kibadilike?

Ni Nini Kitakachobadilika?

Kwa Nini Watu Wanafanya Mambo Mabaya? Munara wa Mulinzi, 1/9/2010

Serikali Mbalimbali

Ona pia Mashahidi wa Yehova ➤ Mamlaka Kubwa za Ulimwengu

❐ Munara wa Mulinzi, 1/1/2015

Ubaya wa Rushwa Katika Serikali

Ufalme wa Mungu​—Serikali Yenye Haina Rushwa

Utawala wa Shetani Utashindwa Kabisa Munara wa Mulinzi, 15/1/2010

Je, Wanadamu Wanaweza Kutuhakikishia Wakati Ujao Wenye Furaha? Amuka!, 5/2008

❐ Munara wa Mulinzi, 1/8/2004

Kutafuta Serikali Nzuri

Serikali ya Ufalme wa Mungu Ni Halisi Leo

❐ Munara wa Mulinzi, 1/4/2004

666​—Si Fumbo Tu

Kumtambulisha Mnyama-Mwitu na Alama Yake

Je, Marekebisho Yatamaliza Matatizo? Amuka!, 22/3/2004

Maoni ya Biblia: Je, Amani ya Ulimwengu Itapatikana kwa Mapatano? Amuka!, 8/1/2004

Je, Uovu Umeshinda? (§ Je, Wanadamu Wanaweza Kujitawala kwa Mafanikio?) Munara wa Mulinzi, 15/1/2003

❐ Munara wa Mulinzi, 15/3/2002

Uongozi​—Bora Tatizo la Ulimwenguni Pote

Tunaweza Kupata Wapi Uongozi Bora?

Serikali Kubwa za Ulimwengu

13 Serikali Kubwa za Ulimwengu Zilizotabiriwa na Danieli Musaada wa Kujifunza Neno la Mungu

B9 Serikali Kubwa za Ulimwengu Zenye Zilitabiriwa na Danieli Tafsiri ya Ulimwengu Mupya, Nyongeza

❐ Munara wa Mulinzi, 15/6/2012

Yehova Ni ‘Mufunuaji wa Siri’

Yehova Anafunua Mambo Ambayo “Lazima Yatendeke Upesi”

Wafalme Wanane Wanafunuliwa (Muchoro) Munara wa Mulinzi, 15/6/2012

Maulizo ya Wasomaji Wetu: Ni wakati gani Serikali Kubwa ya saba ya ulimwengu kulingana na unabii wa Biblia ilitokea? Munara wa Mulinzi, 15/6/2012

Kitabu Kinachotegemeka​—Sehemu ya 1: Misri na Historia ya Biblia Amuka!, 11/2010

Kitabu Kinachotegemeka​—Sehemu ya 2: Ashuru na Historia ya Biblia Amuka!, 12/2010

Kitabu Kinachotegemeka​—Sehemu ya 3: Babiloni na Historia ya Biblia Amuka!, 1/2011

Kitabu Kinachotegemeka​—Sehemu ya 4: Muungano wa Umedi na Uajemi na Historia ya Biblia Amuka!, 2/2011

Kitabu Kinachotegemeka​—Sehemu ya 5: Ugiriki na Historia ya Biblia Amuka!, 3/2011

Kitabu Kinachotegemeka​—Sehemu ya 6: Roma na Historia ya Biblia Amuka!, 4/2011

Kitabu Kinachotegemeka​—Sehemu ya 7: Serikali Kuu ya Saba ya Ulimwengu Amuka!, 5/2011

Umoja wa Mataifa

Yehova Anafunua Mambo Ambayo “Lazima Yatendeke Upesi” Munara wa Mulinzi, 15/6/2012 fu. 13-17

Uvunjaji wa Sheria na Jeuri

Inawezekana Kusikuwe Jeuri Katika Dunia? Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote), Na. 4 2016

Maoni ya Biblia: Jeuri Amuka!, 5/2015

Hekima Yenye Kulinda Amuka!, 2/2015

Jilinde Dhidi ya Uhalifu! Amuka!, 5/2013

❐ Amuka!, 8/2012

Jeuri Hutuumiza Sisi Sote

Kupumbazwa na Jeuri

Visababishi vya Jeuri

Unaweza Kujifunza Kuwa Mwenye Kufanya Amani

Nilipenda Jeuri

Mashambulizi Kupitia Kompyuta! Amuka!, 5/2012

Je, Tatizo la Uhalifu Linaweza Kutatuliwa? Amuka!, 2/2008

Jeuri Dhidi ya Wanawake​—Tatizo la Ulimwenguni Pote Amuka!, 1/2008

Jilinde Dhidi ya Wezi wa Magari! Amuka!, 10/2006

Kwa Nini Mauaji ya Kijeuri Yameongezeka Sana? Amuka!, 8/7/2003

Maoni ya Biblia: Maoni ya Mungu Ni Nini Kuhusu Jeuri? Amuka!, 8/8/2002

Mambo Yaliyotarajiwa na Kuhofiwa Kuhusu Polisi

Amuka!, 8/7/2002

Je, Magereza Yanaendeleza Uhalifu? Amuka!, 8/5/2001

❐ Amuka!, 8/7/2000

Je, Uhai Unakosa Kuthaminiwa kwa Vyovyote?

“Utamaduni wa Mauaji” Huendelezwaje?

Kuwasaidia Vijana Waepuke “Utamaduni wa Mauaji”

Je, Unawaona Wenye Jeuri Kama Mungu Awaonavyo? Munara wa Mulinzi, 15/4/2000

Kuwatendea Watoto Mubaya

Jinsi ya Kuwalinda Watoto Wako Amuka!, 10/2007

❐ Amuka!, 8/2/2003

“Uhalifu wa Kikatili”

Kwa Nini Tatizo Hilo Linaenea?

Kuwatumia Watoto Vibaya Kutakoma Hivi Karibuni!

Jinsi Yesu Alivyolindwa Mwalimu, sura ya 32

Unaweza Kufanikiwa Licha ya Malezi Yako Munara wa Mulinzi (2001), 15/4/2001

Zoeza Mtoto Wako Tangu Utoto Mchanga Sana (§ Mlinde Mtoto Wako Dhidi ya Madhara) Furaha ya Familia, sura ya 5

Ubakaji

Ninapaswa Kujua Nini Kuhusu Kulalwa Kinguvu? Majibu ya Maulizo 10, ulizo la 8

Maswali Kutoka kwa Wasomaji: Sababu gani mtu anapaswa kupiga mayowe akitishwa kulalwa kinguvu? Munara wa Mulinzi, 1/2/2003

Kusumbuliwa ili Ufanye Ngono

Naweza Kujilinda Jinsi Gani Shuleni? (§ Jinsi Unavyoweza Kufanya Unaponyanyaswa Kimapenzi) Vijana Huuliza 2, sura ya 14

Kwa Nini Watu Wengi Sana Huishi kwa Woga? (§ Woga Unaosababishwa na Kusumbuliwa Kingono) Amuka!, 8/8/2005

Vijana Huuliza: Naweza Kupambanaje na Kusumbuliwa Kingono? Amuka!, 22/8/2000

Kuiba

Maono ya Zekaria​—Yanakuhusu Namna Gani? Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo), 10/2017

❐ Amuka!, 22/6/2005

Kuiba Vitu Dukani​—Je, Ni Msisimuko Usiodhuru Au Ni Uhalifu Mbaya?

Kwa Nini Watu Huiba Vitu Dukani?

Kuiba Vitu Dukani​—Ni Nani Hupata Hasara?

Jinsi ya Kuacha Kuiba Vitu Dukani

Jinsi ya Kujilinda Dhidi ya Ulaghai Amuka!, 22/7/2004

Ulaghai Ni Tatizo la Ulimwenguni Pote Amuka!, 22/7/2004

Usiwe Mwizi Kamwe! Mwalimu, sura ya 24

Wanaweza Kutumia Vibaya Vitambulisho Vyako! Amuka!, 22/3/2001

Ugaidi (Terrorisme)

“Mungu Anatusaidia Kupona” Amuka!, 5/2015

❐ Amuka!, 6/2011

“Nilitaka Tu Kuchukua Barua Zangu”

Kwa Nini Watu Fulani Hutenda kwa Jeuri?

Je, Inawezekana Kuwa na Ulimwengu Usio na Ugaidi?

❐ Amuka!, 6/2006

Watoto Watishwa

Historia Iliyojaa Umwagaji wa Damu

“Msiogope, Wala Msifadhaike” (§ Tofauti Kati ya Kutokuwamo kwa Kikristo na Ugaidi) Munara wa Mulinzi, 1/6/2003

Siku Ambayo ile Minara Miwili Iliporomoka Amuka!, 8/1/2002

Kukabiliana na Tisho la Ugaidi Amuka!, 22/5/2001

Maangamizi Makubwa

“Bwana, Mbona Ulikaa Kimya?” Munara wa Mulinzi (2007 ), 15/5/2007

Mashahidi wa Yehova Waliouawa Wakumbukwa Munara wa Mulinzi, 15/1/2003

Ripoti ya Watangazaji wa Ufalme: Wafia-Imani wa Siku Hizi Watoa Ushahidi Nchini Sweden Munara wa Mulinzi, 1/2/2002

Vita

Mawazo ya Biblia: Vita Amuka!, Na. 5 2017

❐ Munara wa Mulinzi, 1/11/2015

Mungu Anaona Vita Namna Gani?

Namna Mungu Aliona Vita Wakati wa Zamani

Namna Mungu Aliona Vita Wakati wa Mitume

Namna Mungu Anaona Vita Leo

Ain Jalut​—Vita Vilivyobadili Mkondo wa Historia Amuka!, 3/2012

Maoni ya Biblia: Je, Mungu Anaunga Mkono Vita Leo? Amuka!, 8/2011

Kwa Nini Mungu Aliwaamuru Waisraeli Wapigane Vita na Wakanaani? Munara wa Mulinzi, 1/1/2010

Je, Ukristo Unaunga Mkono Vita? Munara wa Mulinzi, 1/10/2009

Makosa Yaliyoanzisha Vita vya Ulimwengu Amuka!, 8/2009

❐ Munara wa Mulinzi, 1/1/2004

Vita Vimebadilika Siku Hizi

Mwisho wa Vita

Silaha za Kibiolojia​—Je, Kweli Ni Hatari? Amuka!, 22/9/2002

Karne ya Ujeuri Amuka!, 8/5/2002

❐ Amuka!, 22/3/2001

Hali ya Mapigano ya Kisasa

Silaha Ndogondogo, Matatizo Makubwa

Je, Silaha Zitaweza Kudhibitiwa?

❐ Munara wa Mulinzi, 1/1/2001

Madhara ya Vita

Kumaliza Madhara ya Vita

Vita ya Nyukilia

Watu Wengi Wanaogopa Nini Hasa? (§ Bado Kuna Uwezekano Mkubwa wa Vita vya Nyuklia Kuzuka) Munara wa Mulinzi, 1/8/2010

❐ Amuka!, 8/3/2004

Bado Kuna Tisho la Vita vya Nyuklia?

Ni Nani Wanaosababisha Tisho la Vita vya Nyuklia?

Inawezekana Kuepuka Vita vya Nyuklia?

Mambo Yenye Kuhusu Maisha ya Watu

❐ Amuka!, 7/2013

Maandamano ya Kupinga Serikali Yanasaidia Kumaliza Magumu ya Wanadamu?

Niliona Ukosefu wa Haki Kila Mahali Nilipoangalia

❐ Munara wa Mulinzi, 1/9/2012

Magumu Ambayo Wanawake Wanavumilia

Je, Kweli Mungu Anawahangaikia Wanawake?

Mungu Anawaheshimu Wanawake na Anawaona Kuwa Watu wa Lazima

Kutoa Misaada

Maoni ya Biblia: Maskini Amuka!, 2/2013

Je, Ufadhili Ndilo Suluhisho? Amuka!, 5/2008

❐ Munara wa Mulinzi, 1/6/2003

Watu Wanayaonaje Mashirika ya Kutoa Misaada?

Kutoa Kunakompendeza Mungu

Utumwa na Kutumikisha Watoto

Kutoka Katika Utumwa​—Wakati wa Zamani na Wakati Wetu Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote), Na. 2 2017

Maoni ya Biblia: Je, Biblia Inaunga Mkono Utumwa? Amuka!, 7/2011

Kutembea Kwenye Njia ya Watumwa Amuka!, 5/2011

Watumwa Waliosahauliwa wa Bahari za Kusini Amuka!, 1/2009

❐ Amuka!, 22/6/2002

Utumwa Uovu Unaoendelea

Pambano la Muda Mrefu Dhidi ya Utumwa

Utumwa Utakapokoma!

Maoni ya Biblia: Je, Mungu Alikubali Biashara ya Watumwa? Amuka!, 8/9/2001

❐ Amuka!, 8/3/2000

Siri Iliyofichwa Sana

Ni Nani Walio Watumwa Leo?

Utumwa wa Kisasa​—Mwisho Wake Wakaribia!

Ubaguzi

Maoni ya Biblia: Ubaguzi wa Rangi Amuka!, 4/2014

❐ Munara wa Mulinzi, 1/6/2013

Chuki Ni Tatizo Linaloenea Katika Dunia Yote

Dunia Isiyokuwa na Chuki Itakuwa Wakati Gani?

Sisi Sote Ni Familia Moja Amuka!, 11/2009

❐ Amuka!, 8/2009

Kutendewa Kama Mtu Asiye na Maana

Chuki na Ubaguzi​—Kufichua Mizizi Yake

Upendo Hushinda Chuki

Je, Unawaona Wengine Kama Yehova Anavyowaona? Munara wa Mulinzi, 15/3/2008

❐ Amuka!, 8/9/2004

Vyanzo vya Ubaguzi

Mwisho wa Ubaguzi

Maoni ya Biblia: Je, Inafaa Kuwachukia Watu wa Jamii Nyingine? Amuka!, 8/8/2003

Jinsi ya Kuwa Mwenye Fadhili Mwalimu, sura ya 15

❐ Munara wa Mulinzi, 1/1/2002

Matatizo ya Ubaguzi wa Kijamii

Je, Inawezekana Kuwa na Jamii Isiyo na Ubaguzi?

Haki za Wanadamu

❐ Amuka!, 5/2012

Ukosefu wa Haki Huumiza!

Visababishi vya Ukosefu wa Haki

Jinsi ya Kuwa Mwenye Haki Zaidi

Haki ya Kweli Chini ya Serikali ya Mungu

Walioshambuliwa Watetewa Munara wa Mulinzi, 1/3/2008

Unaweza Kukabiliana na Ukosefu wa Haki! Munara wa Mulinzi (2007 ), 15/8/2007

❐ Munara wa Mulinzi, 1/8/2006

Haki ya Binadamu ya Kuheshimiwa Hukandamizwa

Wanadamu Wote Wanaweza Kuheshimiwa

Wanawake Kutahiriwa

Jinsi Akina Mama Wanavyoshinda Magumu (§ Kushinda Mila Zinazodhuru) Amuka!, 22/2/2005

Kuhamia Nafasi Ingine

Namna ya Kusaidia Watoto wa “Wakaaji Wageni” Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo), 5/2017

❐ Munara wa Mulinzi, 15/4/2014

Hauwezi Kuwatumikia Mabwana Wawili

Usiogope​—Yehova Atakusaidia!

Kuhamia Nchi Nyingine​—Matarajio na Mambo Halisi Amuka!, 2/2013

Wakimbizi

Tusaidie “Wakaaji Wageni” ili ‘Wamutumikie Yehova kwa Furaha’ Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo), 5/2017

❐ Amuka!, 22/1/2002

Watu Wanaotafuta Usalama

Kupata Makao ya Kudumu

Ulimwengu Ambao Kila Mtu Atafurahia

Hesabu ya Watu Duniani

Ugumu wa Kulisha Majiji Amuka!, 22/11/2005

Idadi ya Watu, Biblia, na Wakati Ujao Amuka!, 8/5/2004

Umaskini

Mawazo ya Biblia: Umasikini Amuka!, 9/2015

❐ Munara wa Mulinzi, 1/6/2011

Inamaanisha Nini Kuwa Maskini wa Kupindukia?

Jitihada za Kumaliza Umaskini

Kwa Nini Kuna Maskini Wengi Katika Ulimwengu Wenye Utajiri? Amuka!, 5/2007

❐ Munara wa Mulinzi, 1/5/2006

Umaskini Jinsi Hali Ilivyo Leo

Fuata Kielelezo cha Yesu Kwa Kuwahangaikia Maskini

Pengo Kati ya Matajiri na Maskini Amuka!, 8/11/2005

Kujaribu Kulisha Watu Bilioni Moja Amuka!, 22/7/2005

❐ Munara wa Mulinzi, 15/5/2005

Je, Mwanadamu Anaweza Kuukomesha Umaskini?

Ulimwengu Usio na Umaskini Unakaribia

❐ Munara wa Mulinzi, 1/8/2003

Maskini Wanazidi Kuwa Maskini

Kupata Suluhisho Lenye Kudumu la Umaskini

Pengo Kati ya Matajiri na Maskini Laongezeka Amuka!, 8/2/2000

Kukosa Makao

Tumaini kwa Wasio na Makao na kwa Masikini Amuka!, 5/2015

❐ Amuka!, 8/12/2005

Ukosefu wa Makao​—Tatizo la Ulimwenguni Pote

Ni Nini Husababisha Ukosefu wa Makao?

Ukosefu wa Makao​—Suluhisho Ni Nini?

❐ Amuka!, 22/9/2005

Kila Mtu Anahitaji Makao

Ni Nini Husababisha Ukosefu wa Nyumba?

Hatimaye Kila Mtu Atakuwa na Nyumba Nzuri!

Ulimwengu wa Wafanyabiashara

Ona pia Ulimwengu wa Shetani ➤ Roho ya Ulimwengu ➤ Kupenda Sana Vitu vya Kimwili

Tafuta Utajiri wa Kweli Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo), 7/2017

Nguvu za Udanganyifu za Matangazo ya Biashara Amuka!, 12/2008

“Biashara Yenye Wafanyakazi Wengi Zaidi” Amuka!, 22/8/2005

Magazeti Yanayowavutia Watu Amuka!, 8/8/2004

❐ Amuka!, 22/5/2002

Kuunganisha Ulimwengu​—Mazuri na Mabaya Yanayotarajiwa

Je, Kuunganisha Ulimwengu Kutatatua Matatizo Yetu Kweli?

Njia ya Kuunganisha Ulimwengu Ambayo Itakufaidi

Mambo Yenye Kuhusu Mazingira

Namna Tunaweza Kuepuka Kutumia Vitu Ovyoovyo Amuka!, Na. 5 2017

Watu Wataharibisha Dunia Kabisa-Kabisa? Munara wa Mulinzi, 1/9/2014

Je, Makongamano Yametimiza Chochote? Amuka!, 11/2011

Dunia Ina “Homa” Je, Kuna Tiba? Munara wa Mulinzi, 1/9/2008

❐ Amuka!, 8/2008

Je, Kuna Dalili za Matatizo?

Je, Dunia Inakabili Hatari?

Wakati Ujao wa Dunia Umo Mikononi mwa Nani?

Maoni ya Biblia: Kwa Nini Tutunze Mazingira? Amuka!, 12/2007

❐ Amuka!, 22/3/2005

Tunahitaji Milima

Milima Imo Hatarini

Ni Nani Atakayeiokoa Milima?

❐ Amuka!, 8/3/2005

Nishati Ni Muhimu kwa Uhai

Kwa Nini Tunahitaji Vyanzo Vipya vya Nishati?

Njia Mpya za Kutokeza Nishati

Kupata Chanzo cha Nishati Yote

Mali za Asili za Dunia Zinapungua Amuka!, 8/1/2005

Tumefanikiwa Kadiri Gani Kuokoa Mazingira Yetu? Amuka!, 22/11/2003

Kwa Nini Hali ya Hewa Imebadilika? Amuka!, 8/8/2003

Je, Tunaharibu Chakula Chetu? Amuka!, 22/12/2001

Mfumo Tata wa Viumbe Amuka!, 22/11/2001

Maji

❐ Amuka!, 1/2009

Je, Maji Yanakwisha?

Tatizo la Maji​—Linashughulikiwa Jinsi Gani?

Maji Yanayoongoza Kwenye Uzima

❐ Amuka!, 22/6/2001

Je, Maji Yanazidi Kupungua Ulimwenguni?

Mbona Kuna Ukosefu wa Maji?

Maji Halisi na ya Kiroho Ni Muhimu kwa Uhai

Mimea

Mabadiliko Makubwa Amuka!, 8/8/2004

Misitu Ni Muhimu Kadiri Gani? Amuka!, 22/12/2003

❐ Amuka!, 22/6/2003

Misitu ya Mvua Je, Inaweza Kuokolewa?

Misitu ya Mvua Je, Tunaweza Kuitumia Bila Kuiharibu?

Ni Nani Atakayeokoa Misitu ya Mvua?

Kuhifadhi Mbegu Haraka Amuka!, 8/4/2002

Jamii Mbalimbali​—Hutegemeza Uhai Amuka!, 22/9/2001

Je, Mwanadamu Anasababisha Upungufu wa Chakula? Amuka!, 22/9/2001

Kupanda Mazao Kwenye Msitu wa Amazon Amuka!, 22/11/2000

Somo la Muhimu Kutoka kwa Kisiwa Kidogo Sana Amuka!, 22/6/2000

Misiba ya Asili

Ona pia Mashahidi wa Yehova ➤ Tayari Kusaidia Wale Wenye Walipatwa na Musiba

Wakati Musiba Unatokea​—Hatua Zenye Zinaweza Kuokoa Uzima Amuka!, Na. 5 2017

Unapoteza Vitu Vyako Vyote Amuka!, 7/2014

Maoni Ya Biblia: Je, Mungu Anatumia Misiba ya Asili Kuwaadhibu Wanadamu Leo? Amuka!, 12/2012

❐ Munara wa Mulinzi, 1/12/2011

Je, Mungu Anatuadhibu?

Misiba ya Asili​—Kwa Nini Imeongezeka Sana?

Kukabiliana na Misiba ya Asili

Misiba Itakwisha Hivi Karibuni!

Matetemeko Makubwa Zaidi Yanatazamiwa Amuka!, 12/2010

Wasomaji Wetu Wanauliza: Je, Misiba ya Asili Ni Adhabu Kutoka Kwa Mungu? Munara wa Mulinzi, 1/5/2008

❐ Amuka!, 9/2007

Inavunja Moyo na Kuharibu Imani

Je, Mungu Anapaswa Kulaumiwa?

Misiba Itakwisha Karibuni

❐ Amuka!, 22/7/2005

Je, Misiba ya Asili Inaongezeka?

Misiba ya Asili​—Jinsi Wanadamu Wanavyochangia Kuongezeka Kwake

Misiba Yote Itakoma Hivi Karibuni

Mawimbi Yanayofisha​—Hekaya na Ukweli Amuka!, 8/2/2001

Roho ya Ulimwengu

Ipinge “Roho ya Ulimwengu” Munara wa Mulinzi, 15/9/2008

Chanzo cha Uovu Kinafunuliwa! Munara wa Mulinzi (2007 ), 1/6/2007

Pingeni Roho ya Ulimwengu Unaobadilika Munara wa Mulinzi, 1/4/2004

Kuharibika kwa Mwenendo

Tegemeza Kanuni za Yehova za Mwenendo Utumishi na Maisha ya Mukristo​—Buku la Mukutano, 6/2017

❐ Munara wa Mulinzi, 1/6/2010

Je, Maoni ya Watu Kuhusu Dhambi Yamebadilika?

Kwa Nini Maoni ya Watu Kuhusu Dhambi Yamebadilika?

Ukweli Kuhusu Dhambi

❐ Amuka!, 4/2007

Maadili Yalipoporomoka Ghafula

Ulimwengu Huu Unaelekea Wapi?

Je, Maadili Yanazorota? Amuka!, 8/6/2003

Je, Maadili Ni Mabaya Zaidi Kuliko Awali? Amuka!, 8/4/2000

Kupenda Sana Vitu vya Kimwili

Ona pia Kazi na Feza

Maoni ya Biblia: Feza Amuka!, 3/2014

Mambo Matatu Ambayo Feza Haziwezi Kununua Amuka!, 10/2013

Maoni ya Biblia: Je, Inafaa Mtu Kuonyesha Mali Yake? Amuka!, 11/2012

Simama Imara na Epuka Mitego ya Shetani! (§ Mutego Unaosonga: Kufuatia Vitu vya Kimwili) Munara wa Mulinzi, 15/8/2012

Usijitenge Kamwe na Waamini Wenzako Munara wa Mulinzi, 15/3/2011

Dumisha Ushikamanifu Ukiwa na Moyo Kamili Munara wa Mulinzi, 15/8/2008

Je, Wewe Ni “Tajiri Kwa Mungu”? Munara wa Mulinzi (2007 ), 1/8/2007

❐ Amuka!, 6/2007

Jinsi Unavyoweza Kuathiriwa na Azimio la Kuwa Tajiri

Kuazimia Kuwa Tajiri Kiroho

❐ Munara wa Mulinzi, 1/2/2006

Pesa na Maadili​—Historia Inatufunza Nini?

Maisha Yenye Kuridhisha Katika Ulimwengu Mpya wa Mungu

❐ Munara wa Mulinzi, 15/10/2004

Kufuatia Zaidi Vitu vya Kimwili

Nufaika kwa Kufuatia Kanuni za Kiroho

Maoni ya Biblia: Inamaanisha Nini Kupenda Vitu vya Kimwili? Amuka!, 8/4/2003

Unaweza Kudumishaje Maoni Yaliyosawazika Kuhusu Pesa? Munara wa Mulinzi (2001), 15/6/2001

Mawazo na Filozofia ya Watu wa Ulimwengu

Kataa Mawazo ya Ulimwengu Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo), 11/2017

Fikiri kwa Njia Inayofaa​—Tenda kwa Hekima Munara wa Mulinzi, 15/7/2003

Kujifunza Kutokana na Wakristo wa Karne ya Kwanza Amuka!, 8/8/2002

Je, Ni Lazima Uamini? Munara wa Mulinzi, 1/12/2000

Je, Umeathiriwa na Wabeuzi? Munara wa Mulinzi, 15/7/2000

Tegemeza kwa Uthabiti Fundisho la Mungu Munara wa Mulinzi, 1/5/2000

Tabia Zenye Kufanya Watu Watumwa

Ona pia Uasherati ➤ Pornografia

Mungu Anapenda Watu Walio Safi (§ Kujiepusha na Tabia na Mazoea Machafu) “Upendo wa Mungu,” sura ya 8

Shule za Watoto Zisizo na Vitu vya Kuchezea Amuka!, 22/9/2004

Utumwa Utakapokoma! (§ Mazoea Yanapowafanya Watu Kuwa Watumwa) Amuka!, 22/6/2002

Vyombo vya Kielektroniki

Unatumia Vyombo vya Kielektroniki kwa Hekima? Amuka!, 4/2015

Vijana Huuliza: Je, Mimi Ni Mraibu wa Vifaa vya Elektroniki? Amuka!, 1/2011

Ninatumia Vifaa vya Elektroniki Kupita Kiasi? Vijana Huuliza 1, sura ya 36

Kuutazama Ulimwengu (§ Je, Mtu Anaweza Kuwa Mraibu wa Michezo ya Video?) Amuka!, 4/2007

Kuzoea Simu za Mkononi “Kupita Kiasi” Amuka!, 8/1/2003

Pombe

Ubaya wa Kunywa Kupindukia Ni Nini? Vijana Huuliza 1, sura ya 34

❐ Munara wa Mulinzi, 1/1/2010

Mtu Anapotaka Kuendelea Kunywa

Maoni ya Mungu Kuhusu Pombe

Mtazamo Unaofaa Kuhusu Pombe

Nini Ikiwa Mzazi Wangu ni Mraibu wa Dawa za Kulevya au Pombe? Vijana Huuliza 2, sura ya 23

Niliacha Kuwa Mtumwa wa Kileo Amuka!, 5/2007

Maoni ya Biblia: Je, Ni Vibaya Kunywa Kileo? Amuka!, 12/2006

❐ Amuka!, 8/10/2005

Kutumia Kileo Vibaya​—Kunaathiri Afya

Kukomesha Tatizo la Kutumia Kileo Vibaya

Dumisha Maoni Yaliyosawazika Kuhusu Kutumia Kileo Munara wa Mulinzi, 1/12/2004

Maoni ya Biblia: Je, Ni Kosa Kunywa Kupita Kiasi? Amuka!, 8/3/2004

Unaweza Kushinda Matatizo Yanayoidhuru Familia (§ Madhara Yanayosababishwa na Uraibu wa Alkoholi; § Familia Yaweza Kufanya Nini?) Furaha ya Familia, sura ya 12

Dawa za Kulewesha

Ninaweza Kuacha Jinsi Gani Kutumia Dawa za Kulevya? Vijana Huuliza 1, sura ya 35

❐ Amuka!, 5/2009

Kutumia Dawa Vibaya

Matumizi Mazuri na Mabaya ya Dawa za Kitiba

Suluhisho Bora Kuliko Dawa

Nini Ikiwa Mzazi Wangu ni Mraibu wa Dawa za Kulevya au Pombe? Vijana Huuliza 2, sura ya 23

Vijana Huuliza: Ninapaswa Kujua Nini Kuhusu Dawa za Steroidi? Amuka!, 22/12/2005

❐ Amuka!, 8/4/2003

Vijana na Dawa za Kulevya

Jinsi ya Kuwalinda Watoto Wako

Ulimwengu Usio na Dawa za Kulevya Hivi Karibuni

❐ Amuka!, 8/7/2001

Ni Nani Wanaotumia Dawa za Kulevya?

Mbona Watu Hutumia Dawa za Kulevya?

Matumizi ya Dawa za Kulevya Yatakomeshwa!

Tumbaku

❐ Munara wa Mulinzi, 1/6/2014

Tatizo Lenye Kuenea Katika Dunia Yote

Mawazo ya Mungu Ni Gani Juu ya Kuvuta Tumbaku?

Wasomaji Wetu Wanauliza: Ninapovuta tumbaku, je, Mungu anachukia? Munara wa Mulinzi, 1/8/2012

Vijana Huuliza: Ninapaswa Kujua Nini Kuhusu Kuvuta Sigara? Amuka!, 3/2011

Nahitaji Kujua Nini Kuhusu Uvutaji wa Sigara? Vijana Huuliza 1, sura ya 33

❐ Amuka!, 5/2010

Rafiki wa Uwongo

Imarisha Azimio Lako

Tafuta Msaada

Jitayarishe kwa Ajili ya Magumu

Unaweza Kufaulu!

Mwongozo Bora Kuliko Silika (§ “Endeleeni Kuomba” Msaada wa Mungu) Amuka!, 7/2007

Tambuu

Mawazo ya Mungu Juu ya Uzima Biblia Inafundisha, sura ya 13 fu. 7

Heshimia Uzima: Ni Zawadi Kutoka kwa Mungu Inatufundisha, sura ya 13 fu. 6-7

Je, Utafune Tambuu? Amuka!, 2/2012

Kukubaliwa na Mungu Kunaongoza Kwenye Uzima wa Milele Munara wa Mulinzi, 15/2/2011 fu. 12

Michezo ya Feza na Tombola

Mawazo ya Biblia: Michezo ya Feza Amuka!, 3/2015

Je, Biblia Inashutumu Kucheza Kamari? Munara wa Mulinzi, 1/3/2011

Maswali Kutoka kwa Wasomaji: Je, ni vibaya kucheza kamari iwapo unatumia pesa kidogo? Munara wa Mulinzi, 1/11/2002

❐ Amuka!, 22/7/2002

Kamari Hupendwa Ulimwenguni Pote

Kuna Ubaya Gani Kucheza Kamari?

Epuka Mtego wa Kucheza Kamari

Vyombo vya Kutangaza Habari

Namna ya Kushinda Vita kwa Ajili ya Akili Yako Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo), 7/2017

Unaweza Kuamini Vyombo vya Kutangaza Habari? Amuka!, 12/2013

❐ Amuka!, 22/10/2005

Uvutano wa Magazeti

Kutosheleza Uhitaji wa Habari

Jinsi ya Kunufaika na Magazeti

❐ Amuka!, 22/6/2000

Uenezaji-habari Waweza Kufisha

Kutumia Habari Vibaya

Usiathiriwe na Uenezaji-habari!

Armagedoni

Ona Biblia ➤ Unabii ➤ Taabu Kubwa na Armagedoni

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine