Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Sehemu ya 1
    Umusikilize Mungu
    • Sehemu ya 1

      Mungu anasema na sisi kupitia Biblia. 2 Timoteo 3:16

      Watu wa kila mahali wanamusikiliza Mungu. Matayo 28:19

  • Sehemu ya 2
    Umusikilize Mungu
    • Sehemu ya 2

      Yehova aliumba kila kitu chenye kuwa mbinguni . . . na kila kitu chenye kuwa ku dunia. Zaburi 83:18; Ufunuo 4:11

  • Sehemu ya 3
    Umusikilize Mungu
    • Sehemu ya 3

      Yehova alipatia Adamu na Eva vitu mingi vya muzuri. Mwanzo 1:28

      Mungu aliambia Adamu na Eva wasikule matunda ya muti moja kati ya miti ya mu bustani. Mwanzo 2:16, 17

  • Sehemu ya 4
    Umusikilize Mungu
    • Sehemu ya 4

      Adamu na Eva hawakumutii ao kumusikia Mungu, njo maana walikufa. Mwanzo 3:6, 23

      Watu wenye wamekufa hawana uzima, kama vile mavumbi haina uzima. Mwanzo 3:19

  • Sehemu ya 5
    Umusikilize Mungu
    • Sehemu ya 5

      Watu wengi wenye waliishi wakati wa Noa walikuwa wanafanya mambo ya mubaya. Mwanzo 6:5

      Noa alimusikiliza Mungu na akajenga safina. Mwanzo 6:13, 14, 18, 19, 22

  • Sehemu ya 6
    Umusikilize Mungu
    • Sehemu ya 6

      Mungu aliua watu wabaya lakini aliokoa Noa na watu wa familia yake. Mwanzo 7:11, 12, 23

      Mungu ataua tena watu wabaya na kuokoa watu wazuri. Matayo 24:37-39

  • Sehemu ya 7
    Umusikilize Mungu
    • Sehemu ya 7

      Yehova alimutuma Yesu hapa ku dunia. 1 Yohana 4:9

      Yesu alifanya mambo ya muzuri lakini watu walimuchukia. 1 Petro 2:21-24

  • Sehemu ya 8
    Umusikilize Mungu
    • Sehemu ya 8

      Yesu alikufa ili tupate uzima. Yohana 3:16

      Mungu alimufufua Yesu na akamufanya kuwa Mufalme wa Ufalme wa Mungu. Danieli 7:13, 14

  • Sehemu ya 9
    Umusikilize Mungu
    • Sehemu ya 9

      Mateso yenye kuwa mu dunia inaonyesha kama Ufalme wa Mungu uko karibu kutenda. Luka 21:10, 11; 2 Timoteo 3:1-5

      Ufalme utamaliza mambo yote ya mubaya. 2 Petro 3:13

  • Sehemu ya 10
    Umusikilize Mungu
    • Sehemu ya 10

      Watu wengi wenye wamekufa watafufuliwa ili waishi ku dunia. Matendo 24:15

      Ufalme wa Mungu utamaliza mateso yote. Ufunuo 21:3, 4

  • Sehemu ya 11
    Umusikilize Mungu
    • Sehemu ya 11

      Mungu anasikilizaka sala zetu. 1 Petro 3:12

      Tunaweza kusali juu ya mambo mingi. 1 Yohana 5:14

  • Sehemu ya 12
    Umusikilize Mungu
    • Sehemu ya 12

      Upendo ni jambo la maana ili familia ikuwe na furaha. Waefeso 5:33

      Ukuwe mupole na muaminifu na usikuwe mukali. Wakolosai 3:5, 8-10

  • Sehemu ya 13
    Umusikilize Mungu
    • Sehemu ya 13

      Uepuke mambo ya mubaya. 1 Wakorinto 6:9, 10

      Ufanye mambo ya muzuri. Matayo 7:12

  • Sehemu ya 14
    Umusikilize Mungu
    • Sehemu ya 14

      Ujitie ngambo ya Mungu. 1 Petro 5:6-9

      Ukamate uamuzi wa muzuri​—umusikilize Mungu. Matayo 7:24, 25

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine