-
Sehemu ya 1Umusikilize Mungu
-
-
Sehemu ya 1
Mungu anasema na sisi kupitia Biblia. 2 Timoteo 3:16
Watu wa kila mahali wanamusikiliza Mungu. Matayo 28:19
-
-
Sehemu ya 2Umusikilize Mungu
-
-
Sehemu ya 2
Yehova aliumba kila kitu chenye kuwa mbinguni . . . na kila kitu chenye kuwa ku dunia. Zaburi 83:18; Ufunuo 4:11
-
-
Sehemu ya 3Umusikilize Mungu
-
-
Sehemu ya 3
Yehova alipatia Adamu na Eva vitu mingi vya muzuri. Mwanzo 1:28
Mungu aliambia Adamu na Eva wasikule matunda ya muti moja kati ya miti ya mu bustani. Mwanzo 2:16, 17
-
-
Sehemu ya 4Umusikilize Mungu
-
-
Sehemu ya 4
Adamu na Eva hawakumutii ao kumusikia Mungu, njo maana walikufa. Mwanzo 3:6, 23
Watu wenye wamekufa hawana uzima, kama vile mavumbi haina uzima. Mwanzo 3:19
-
-
Sehemu ya 5Umusikilize Mungu
-
-
Sehemu ya 5
Watu wengi wenye waliishi wakati wa Noa walikuwa wanafanya mambo ya mubaya. Mwanzo 6:5
Noa alimusikiliza Mungu na akajenga safina. Mwanzo 6:13, 14, 18, 19, 22
-
-
Sehemu ya 6Umusikilize Mungu
-
-
Sehemu ya 6
Mungu aliua watu wabaya lakini aliokoa Noa na watu wa familia yake. Mwanzo 7:11, 12, 23
Mungu ataua tena watu wabaya na kuokoa watu wazuri. Matayo 24:37-39
-
-
Sehemu ya 7Umusikilize Mungu
-
-
Sehemu ya 7
Yehova alimutuma Yesu hapa ku dunia. 1 Yohana 4:9
Yesu alifanya mambo ya muzuri lakini watu walimuchukia. 1 Petro 2:21-24
-
-
Sehemu ya 8Umusikilize Mungu
-
-
Sehemu ya 8
Yesu alikufa ili tupate uzima. Yohana 3:16
Mungu alimufufua Yesu na akamufanya kuwa Mufalme wa Ufalme wa Mungu. Danieli 7:13, 14
-
-
Sehemu ya 9Umusikilize Mungu
-
-
Sehemu ya 9
Mateso yenye kuwa mu dunia inaonyesha kama Ufalme wa Mungu uko karibu kutenda. Luka 21:10, 11; 2 Timoteo 3:1-5
Ufalme utamaliza mambo yote ya mubaya. 2 Petro 3:13
-
-
Sehemu ya 10Umusikilize Mungu
-
-
Sehemu ya 10
Watu wengi wenye wamekufa watafufuliwa ili waishi ku dunia. Matendo 24:15
Ufalme wa Mungu utamaliza mateso yote. Ufunuo 21:3, 4
-
-
Sehemu ya 11Umusikilize Mungu
-
-
Sehemu ya 11
Mungu anasikilizaka sala zetu. 1 Petro 3:12
Tunaweza kusali juu ya mambo mingi. 1 Yohana 5:14
-
-
Sehemu ya 12Umusikilize Mungu
-
-
Sehemu ya 12
Upendo ni jambo la maana ili familia ikuwe na furaha. Waefeso 5:33
Ukuwe mupole na muaminifu na usikuwe mukali. Wakolosai 3:5, 8-10
-
-
Sehemu ya 13Umusikilize Mungu
-
-
Sehemu ya 13
Uepuke mambo ya mubaya. 1 Wakorinto 6:9, 10
Ufanye mambo ya muzuri. Matayo 7:12
-
-
Sehemu ya 14Umusikilize Mungu
-
-
Sehemu ya 14
Ujitie ngambo ya Mungu. 1 Petro 5:6-9
Ukamate uamuzi wa muzuri—umusikilize Mungu. Matayo 7:24, 25
-