Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • nwt uku. 19
  • Ulizo la 9: Sababu gani watu wanateseka?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ulizo la 9: Sababu gani watu wanateseka?
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Ulizo la 9: Sababu gani watu wanateseka?

ULIZO LA 9

Sababu gani watu wanateseka?

“Haiko wenye mbio ndio wanashinda kila mara katika mbio, wala haiko wenye nguvu ndio wanashinda katika vita, wala haiko wenye hekima ndio wanapata kila mara chakula, wala haiko wenye akili ndio wanakuwa kila mara na utajiri, wala haiko wenye ujuzi ndio wanafanikiwa kila mara, kwa sababu wakati na matukio yenye hayatazamiwe yanafikia wote.”

Muhubiri 9:11

“Kupitia mutu mumoja zambi iliingia katika ulimwengu na kifo kupitia zambi, na ni vile kifo kilienea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya zambi—.”

Waroma 5:12

“Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alifunuliwa, ili avunje kazi za Ibilisi.”

1 Yohana 3:8

“Ulimwengu muzima unakaa katika nguvu za ule muovu.”

1 Yohana 5:19

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine