Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • nwt uku. 6-uku. 7
  • Ulizo la 1: Mungu ni nani?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ulizo la 1: Mungu ni nani?
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Ulizo la 1: Mungu ni nani?

ULIZO LA 1

Mungu ni nani?

Mutu mwenye anaangalia mbinguni

“Wajue kwamba wewe, mwenye jina lako ni Yehova, wewe peke yako ndiye Mwenye Kuwa Juu Zaidi, juu ya dunia yote.”

Zaburi 83:18

“Mujue kwamba Yehova ni Mungu. Yeye ndiye alituumba, na sisi tuko mali yake.”

Zaburi 100:3

“Mimi ni Yehova. Hilo ndilo jina langu; sipatie mutu yeyote utukufu wangu, wala sipatie sanamu za kuchongwa sifa yangu.”

Isaya 42:8

“Kila mutu mwenye anaitia jina la Yehova ataokolewa.”

Waroma 10:13

“Kwa kweli, kila nyumba inajengwa na mutu fulani, lakini ule mwenye alijenga vitu vyote ni Mungu.”

Waebrania 3:4

“Muinue macho yenu mbinguni na muone. Ni nani ameumba vitu hivi? Ni Ule mwenye kutokeza jeshi lao kwa hesabu; anaviita vyote kwa jina. Kwa sababu ya nguvu zake nyingi zenye musukumo na nguvu zake zenye kuogopesha, hakuna hata moja kati ya hizo yenye kukosekana.”

Isaya 40:26

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine