Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • jy uku. 2-5
  • Habari Zenye Kuwa Ndani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Habari Zenye Kuwa Ndani
  • Yesu—Ni Njia, Kweli, na Uzima
  • Vichwa Vidogo
  • SEHEMU YA 1​—MAMBO YENYE YALITANGULIA UTUMISHI WA YESU
  • SEHEMU YA 2​—MWANZO WA UTUMISHI WA YESU
  • SEHEMU YA 3​—YESU ANAFANYA UTUMISHI MUKUBWA KATIKA GALILAYA
  • SEHEMU YA 4​—UTUMISHI WA YESU KATIKA YUDEA
  • SEHEMU YA 5​—YESU ANAFANYA UTUMISHI WAKE MASHARIKI MWA YORDANI
  • SEHEMU YA 6​—UTUMISHI WA MWISHO WA YESU
Yesu—Ni Njia, Kweli, na Uzima
jy uku. 2-5

Habari Zenye Kuwa Ndani

UKURASA WA

SEHEMU YA 1​—MAMBO YENYE YALITANGULIA UTUMISHI WA YESU

10 1 Ujumbe Mbili Kutoka kwa Mungu

12 2 Yesu Anapewa Heshima Mbele ya Kuzaliwa Kwake

14 3 Mutu Fulani wa Kutayarisha Njia Anazaliwa

16 4 Maria Iko na Mimba Lakini Hajaolewa

18 5 Yesu Alizaliwa Wapi na Wakati Gani?

20 6 Mutoto Mwenye Aliahidiwa

22 7 Watu Wenye Elimu ya Nyota Wanaenda Kumuona Yesu

24 8 Wanakimbia Mutawala Mukali

26 9 Anakomalia Katika Nazareti

28 10 Yesu na Familia Yake Wanasafiri Kuenda Yerusalemu

30 11 Yohana Mubatizaji Anatayarisha Njia

SEHEMU YA 2​—MWANZO WA UTUMISHI WA YESU

34 12 Yesu Anabatizwa

36 13 Mambo Tunaweza Kujifunza Kupitia Namna Yesu Alipambana na Majaribu

38 14 Yesu Anaanza Kufanya Wanafunzi

40 15 Anafanya Muujiza Wake wa Kwanza

42 16 Yesu Anaonyesha Bidii kwa Ajili ya Ibada ya Kweli

44 17 Anafundisha Nikodemo Wakati wa Usiku

46 18 Yesu Anaongezeka na Yohana Anapunguka

48 19 Anafundisha Mwanamuke Musamaria

SEHEMU YA 3​—YESU ANAFANYA UTUMISHI MUKUBWA KATIKA GALILAYA

54 20 Muujiza wa Pili Katika Kana

56 21 Kwenye Sinagogi ya Nazareti

58 22 Wanafunzi Ine Watakuwa Wavuvi wa Watu

60 23 Yesu Anafanya Miujiza Katika Kapernaumu

62 24 Utumishi Wake Unapanuka Katika Galilaya

64 25 Anaponyesha Mutu Mwenye Ukoma kwa Huruma

66 26 “Zambi Zako Zimesamehewa”

68 27 Matayo Anaalikwa

70 28 Sababu Gani Wanafunzi wa Yesu Hawafunge?

72 29 Mutu Anaweza Kufanya Matendo ya Muzuri Siku ya Sabato? 72

74 30 Uhusiano wa Yesu Pamoja na Baba Yake

76 31 Wanakata Masuke ya Nafaka Siku ya Sabato

78 32 Ni Nini Inaruhusiwa Kufanya Siku ya Sabato?

80 33 Anatimiza Unabii wa Isaya

82 34 Yesu Anachagua Mitume Kumi na Mbili

84 35 Mahubiri ya Mulimani Yenye Kujulikana Sana

92 36 Mukubwa Fulani wa Jeshi Anaonyesha Imani Kubwa

94 37 Yesu Anafufua Mutoto wa Mujane

96 38 Yohana Anapenda Kupata Habari Juu ya Yesu

98 39 Ole kwa Kizazi Chenye Kukataa Kusikiliza

100 40 Anafundisha Watu Kusamehe

102 41 Anafanya Miujiza kwa Nguvu za Nani?

104 42 Yesu Anakemea Wafarisayo

106 43 Mifano Mbalimbali Kuhusu Ufalme

112 44 Yesu Ananyamazisha Upepo Mukali Kwenye Bahari

114 45 Iko na Mamlaka Juu ya Pepo Wengi Wachafu

116 46 Anaponyeshwa kwa Kugusa Nguo ya Yesu

118 47 Mutoto Mwanamuke Anaishi Tena!

120 48 Anafanya Miujiza, Lakini Anakataliwa Hata Katika Nazareti

122 49 Anahubiri Katika Galilaya na Anazoeza Mitume

124 50 Wanatayarishwa Kuhubiri Hata Katika Mateso

126 51 Mutu Anauawa Wakati wa Karamu ya Sikukuu ya Kuzaliwa

128 52 Anatumia Mikate Tano na Samaki Wawili ili Kukulisha Maelfu ya Watu

130 53 Mutawala Mwenye Kuwa na Mamlaka Juu ya Nguvu za Asili

132 54 Yesu Ni “Mukate wa Uzima”

134 55 Watu Wengi Wanakwazika kwa Sababu ya Maneno ya Yesu

136 56 Mutu Anachafuliwa na Nini?

138 57 Yesu Anaponyesha Mutoto Mwanamuke na Mwanaume Mwenye Kuwa Kiziwi

140 58 Anazidisha Mikate na Kuonya Juu ya Chachu

142 59 Mwana wa Binadamu Ni Nani?

144 60 Kugeuzwa Sura​—Kristo Anaonekana Katika Utukufu

146 61 Yesu Anaponyesha Kijana Mwanaume Mwenye Kuwa na Pepo Muchafu

148 62 Anafundisha Somo la Maana Kuhusu Unyenyekevu

150 63 Yesu Anatoa Mashauri Kuhusu Kukwaza Wengine na Kuhusu Zambi

152 64 Ni Jambo la Lazima Kusamehe

154 65 Anafundisha Katika Safari Yake ya Kuenda Yerusalemu

SEHEMU YA 4​—UTUMISHI WA YESU KATIKA YUDEA

158 66 Iko Katika Yerusalemu kwa Ajili ya Sikukuu ya Tabenakulo

160 67 “Hakuna Mutu Mwenye Amekwisha Kusema Kama Mutu Huyu”

162 68 Mwana wa Mungu Ni “Mwangaza wa Ulimwengu”

164 69 Baba yao Ni Nani​—Abrahamu ao Ibilisi?

166 70 Yesu Anaponyesha Mwanaume Mwenye Alizaliwa Kipofu

168 71 Wafarisayo Wanauliza Maulizo Mwanaume Mwenye Alikuwa Kipofu

170 72 Yesu Anatuma Wanafunzi 70 ili Waende Kuhubiri

172 73 Musamaria Anaonyesha Kuwa Yeye Ni Jirani wa Kweli

174 74 Anafundisha Kuhusu Ukaribishaji-Wageni na Kuhusu Sala

176 75 Yesu Anaonyesha Siri ya Kupata Furaha

178 76 Anakula Pamoja na Mufarisayo

180 77 Yesu Anatoa Mashauri Kuhusu Utajiri

182 78 Musimamizi-Nyumba Mwaminifu, Endelea Kuwa Tayari!

184 79 Sababu Gani Uharibifu Uko Unakuja

186 80 Muchungaji Mwema na Mazizi ya Kondoo

188 81 Yesu na Baba Ni Kitu Kimoja, Lakini Haiko Mungu

SEHEMU YA 5​—YESU ANAFANYA UTUMISHI WAKE MASHARIKI MWA YORDANI

192 82 Utumishi wa Yesu Katika Perea

194 83 Mialiko Kwenye Chakula

196 84 Kuwa Mwanafunzi wa Yesu Ni Daraka Nzito?

198 85 Wanafurahi Wakati Mutenda-Zambi Anatubu

200 86 Mutoto Mwenye Alipotea Anarudia

204 87 Tumia Hekima Yenye Kutenda kwa Kupanga Mambo Mbele ya Wakati

206 88 Kubadilika kwa Hali ya Tajiri na Hali ya Lazaro

210 89 Anafundisha Katika Perea Wakati Iko Anaenda Yudea

212 90 “Ufufuo na Uzima”

214 91 Lazaro Anafufuliwa

216 92 Watu Kumi Wenye Ukoma Wanaponyeshwa​—Mumoja Anaonyesha Shukrani

218 93 Mwana wa Binadamu Atafunuliwa

220 94 Mambo Mbili ya Lazima Sana​—Sala na Unyenyekevu

222 95 Anafundisha Kuhusu Kuvunja Ndoa na Kupenda Watoto

224 96 Yesu Anamujibu Mutawala Kijana Mwenye Kuwa Tajiri

226 97 Mufano wa Wafanyakazi Katika Shamba la Mizabibu

228 98 Mitume Wanabishana Tena ili Kutafuta Ukubwa

230 99 Yesu Anaponyesha Vipofu Wanaume na Anasaidia Zakayo

232 100 Mufano Wake wa Mina Kumi

SEHEMU YA 6​—UTUMISHI WA MWISHO WA YESU

236 101 Anatumia Chakula Katika Nyumba ya Simoni Katika Betania

238 102 Mufalme Anaingia Yerusalemu Akiwa Juu ya Mwana-Punda

240 103 Anasafisha Tena Hekalu

242 104 Wayahudi Wanasikia Sauti ya Mungu​—Wataonyesha Imani?

244 105 Anatumia Muti wa Tini ili Kufundisha Somo Fulani Kuhusu Imani

246 106 Anatoa Mifano Mbili Kuhusu Mashamba ya Mizabibu

248 107 Mufalme Anaita Wenye Walialikwa Kwenye Karamu ya Ndoa

250 108 Wanashindwa Kumunasa Yesu Katika Mitego Yao

252 109 Anakemea Waziwazi Viongozi wa Dini Wenye Kumupinga

254 110 Siku ya Mwisho ya Yesu Kwenye Hekalu

256 111 Mitume Wanaomba Alama

260 112 Mufano wa Mabikira Kumi​—Somo Kuhusu Kukesha

262 113 Mufano wa Talanta​—Somo Kuhusu Bidii

264 114 Mufalme Yesu Kristo Anahukumu Kondoo na Mbuzi

266 115 Pasaka ya Mwisho ya Yesu Inakaribia

268 116 Anafundisha Unyenyekevu Kwenye Pasaka ya Mwisho

270 117 Chakula cha Mangaribi cha Bwana

272 118 Wanabishana ili Kujua Ni Nani Ndiye Mukubwa Zaidi Kati Yao

274 119 Yesu​—Ni Njia, Kweli, na Uzima

276 120 Kuzaa Matunda Kama Matawi na Kuwa Marafiki wa Yesu

278 121 “Musiogope! Mimi Nimepata Ushindi Juu ya Ulimwengu”

280 122 Sala ya Mwisho ya Yesu Katika Chumba cha Juu

282 123 Anasali Wakati Iko na Huzuni Nyingi

284 124 Kristo Anasalitiwa na Kufungwa

286 125 Yesu Anapelekwa kwa Anasi, Kisha kwa Kayafa

288 126 Petro Anamukana Yesu Kwenye Nyumba ya Kayafa

290 127 Sanhedrini Inamusambisha, Kisha Anapelekwa kwa Pilato

292 128 Pilato na Herode Wanaona Kuwa Yesu Hana Kosa

294 129 Pilato Anasema: “Muangalie! Mwanaume!”

296 130 Yesu Anatolewa na Anapelekwa ili Auawe

298 131 Mufalme Mwenye Hana Kosa Anateseka Kwenye Muti

300 132 “Hakika Huyu Alikuwa Mwana wa Mungu”

302 133 Mwili wa Yesu Unatayarishwa na Kuzikwa

304 134 Kaburi Liko Wazi​—Yesu Ni Mwenye Kuishi!

306 135 Yesu Mwenye Amefufuliwa Anatokea Wengi

308 136 Pembeni ya Bahari ya Galilaya

310 137 Mamia Wanamuona Mbele ya Pentekoste

312 138 Kristo Iko Kwenye Mukono wa Kuume wa Mungu

314 139 Yesu Analeta Paradiso na Kumaliza Mugawo Wake

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine