Habari Zenye Kuwa Ndani
UKURASA WA
SEHEMU YA 1—MAMBO YENYE YALITANGULIA UTUMISHI WA YESU
10 1 Ujumbe Mbili Kutoka kwa Mungu
12 2 Yesu Anapewa Heshima Mbele ya Kuzaliwa Kwake
14 3 Mutu Fulani wa Kutayarisha Njia Anazaliwa
16 4 Maria Iko na Mimba Lakini Hajaolewa
18 5 Yesu Alizaliwa Wapi na Wakati Gani?
22 7 Watu Wenye Elimu ya Nyota Wanaenda Kumuona Yesu
24 8 Wanakimbia Mutawala Mukali
26 9 Anakomalia Katika Nazareti
28 10 Yesu na Familia Yake Wanasafiri Kuenda Yerusalemu
30 11 Yohana Mubatizaji Anatayarisha Njia
SEHEMU YA 2—MWANZO WA UTUMISHI WA YESU
36 13 Mambo Tunaweza Kujifunza Kupitia Namna Yesu Alipambana na Majaribu
38 14 Yesu Anaanza Kufanya Wanafunzi
40 15 Anafanya Muujiza Wake wa Kwanza
42 16 Yesu Anaonyesha Bidii kwa Ajili ya Ibada ya Kweli
44 17 Anafundisha Nikodemo Wakati wa Usiku
46 18 Yesu Anaongezeka na Yohana Anapunguka
48 19 Anafundisha Mwanamuke Musamaria
SEHEMU YA 3—YESU ANAFANYA UTUMISHI MUKUBWA KATIKA GALILAYA
54 20 Muujiza wa Pili Katika Kana
56 21 Kwenye Sinagogi ya Nazareti
58 22 Wanafunzi Ine Watakuwa Wavuvi wa Watu
60 23 Yesu Anafanya Miujiza Katika Kapernaumu
62 24 Utumishi Wake Unapanuka Katika Galilaya
64 25 Anaponyesha Mutu Mwenye Ukoma kwa Huruma
66 26 “Zambi Zako Zimesamehewa”
70 28 Sababu Gani Wanafunzi wa Yesu Hawafunge?
72 29 Mutu Anaweza Kufanya Matendo ya Muzuri Siku ya Sabato? 72
74 30 Uhusiano wa Yesu Pamoja na Baba Yake
76 31 Wanakata Masuke ya Nafaka Siku ya Sabato
78 32 Ni Nini Inaruhusiwa Kufanya Siku ya Sabato?
80 33 Anatimiza Unabii wa Isaya
82 34 Yesu Anachagua Mitume Kumi na Mbili
84 35 Mahubiri ya Mulimani Yenye Kujulikana Sana
92 36 Mukubwa Fulani wa Jeshi Anaonyesha Imani Kubwa
94 37 Yesu Anafufua Mutoto wa Mujane
96 38 Yohana Anapenda Kupata Habari Juu ya Yesu
98 39 Ole kwa Kizazi Chenye Kukataa Kusikiliza
100 40 Anafundisha Watu Kusamehe
102 41 Anafanya Miujiza kwa Nguvu za Nani?
104 42 Yesu Anakemea Wafarisayo
106 43 Mifano Mbalimbali Kuhusu Ufalme
112 44 Yesu Ananyamazisha Upepo Mukali Kwenye Bahari
114 45 Iko na Mamlaka Juu ya Pepo Wengi Wachafu
116 46 Anaponyeshwa kwa Kugusa Nguo ya Yesu
118 47 Mutoto Mwanamuke Anaishi Tena!
120 48 Anafanya Miujiza, Lakini Anakataliwa Hata Katika Nazareti
122 49 Anahubiri Katika Galilaya na Anazoeza Mitume
124 50 Wanatayarishwa Kuhubiri Hata Katika Mateso
126 51 Mutu Anauawa Wakati wa Karamu ya Sikukuu ya Kuzaliwa
128 52 Anatumia Mikate Tano na Samaki Wawili ili Kukulisha Maelfu ya Watu
130 53 Mutawala Mwenye Kuwa na Mamlaka Juu ya Nguvu za Asili
132 54 Yesu Ni “Mukate wa Uzima”
134 55 Watu Wengi Wanakwazika kwa Sababu ya Maneno ya Yesu
136 56 Mutu Anachafuliwa na Nini?
138 57 Yesu Anaponyesha Mutoto Mwanamuke na Mwanaume Mwenye Kuwa Kiziwi
140 58 Anazidisha Mikate na Kuonya Juu ya Chachu
142 59 Mwana wa Binadamu Ni Nani?
144 60 Kugeuzwa Sura—Kristo Anaonekana Katika Utukufu
146 61 Yesu Anaponyesha Kijana Mwanaume Mwenye Kuwa na Pepo Muchafu
148 62 Anafundisha Somo la Maana Kuhusu Unyenyekevu
150 63 Yesu Anatoa Mashauri Kuhusu Kukwaza Wengine na Kuhusu Zambi
152 64 Ni Jambo la Lazima Kusamehe
154 65 Anafundisha Katika Safari Yake ya Kuenda Yerusalemu
SEHEMU YA 4—UTUMISHI WA YESU KATIKA YUDEA
158 66 Iko Katika Yerusalemu kwa Ajili ya Sikukuu ya Tabenakulo
160 67 “Hakuna Mutu Mwenye Amekwisha Kusema Kama Mutu Huyu”
162 68 Mwana wa Mungu Ni “Mwangaza wa Ulimwengu”
164 69 Baba yao Ni Nani—Abrahamu ao Ibilisi?
166 70 Yesu Anaponyesha Mwanaume Mwenye Alizaliwa Kipofu
168 71 Wafarisayo Wanauliza Maulizo Mwanaume Mwenye Alikuwa Kipofu
170 72 Yesu Anatuma Wanafunzi 70 ili Waende Kuhubiri
172 73 Musamaria Anaonyesha Kuwa Yeye Ni Jirani wa Kweli
174 74 Anafundisha Kuhusu Ukaribishaji-Wageni na Kuhusu Sala
176 75 Yesu Anaonyesha Siri ya Kupata Furaha
178 76 Anakula Pamoja na Mufarisayo
180 77 Yesu Anatoa Mashauri Kuhusu Utajiri
182 78 Musimamizi-Nyumba Mwaminifu, Endelea Kuwa Tayari!
184 79 Sababu Gani Uharibifu Uko Unakuja
186 80 Muchungaji Mwema na Mazizi ya Kondoo
188 81 Yesu na Baba Ni Kitu Kimoja, Lakini Haiko Mungu
SEHEMU YA 5—YESU ANAFANYA UTUMISHI WAKE MASHARIKI MWA YORDANI
192 82 Utumishi wa Yesu Katika Perea
196 84 Kuwa Mwanafunzi wa Yesu Ni Daraka Nzito?
198 85 Wanafurahi Wakati Mutenda-Zambi Anatubu
200 86 Mutoto Mwenye Alipotea Anarudia
204 87 Tumia Hekima Yenye Kutenda kwa Kupanga Mambo Mbele ya Wakati
206 88 Kubadilika kwa Hali ya Tajiri na Hali ya Lazaro
210 89 Anafundisha Katika Perea Wakati Iko Anaenda Yudea
216 92 Watu Kumi Wenye Ukoma Wanaponyeshwa—Mumoja Anaonyesha Shukrani
218 93 Mwana wa Binadamu Atafunuliwa
220 94 Mambo Mbili ya Lazima Sana—Sala na Unyenyekevu
222 95 Anafundisha Kuhusu Kuvunja Ndoa na Kupenda Watoto
224 96 Yesu Anamujibu Mutawala Kijana Mwenye Kuwa Tajiri
226 97 Mufano wa Wafanyakazi Katika Shamba la Mizabibu
228 98 Mitume Wanabishana Tena ili Kutafuta Ukubwa
230 99 Yesu Anaponyesha Vipofu Wanaume na Anasaidia Zakayo
232 100 Mufano Wake wa Mina Kumi
SEHEMU YA 6—UTUMISHI WA MWISHO WA YESU
236 101 Anatumia Chakula Katika Nyumba ya Simoni Katika Betania
238 102 Mufalme Anaingia Yerusalemu Akiwa Juu ya Mwana-Punda
240 103 Anasafisha Tena Hekalu
242 104 Wayahudi Wanasikia Sauti ya Mungu—Wataonyesha Imani?
244 105 Anatumia Muti wa Tini ili Kufundisha Somo Fulani Kuhusu Imani
246 106 Anatoa Mifano Mbili Kuhusu Mashamba ya Mizabibu
248 107 Mufalme Anaita Wenye Walialikwa Kwenye Karamu ya Ndoa
250 108 Wanashindwa Kumunasa Yesu Katika Mitego Yao
252 109 Anakemea Waziwazi Viongozi wa Dini Wenye Kumupinga
254 110 Siku ya Mwisho ya Yesu Kwenye Hekalu
260 112 Mufano wa Mabikira Kumi—Somo Kuhusu Kukesha
262 113 Mufano wa Talanta—Somo Kuhusu Bidii
264 114 Mufalme Yesu Kristo Anahukumu Kondoo na Mbuzi
266 115 Pasaka ya Mwisho ya Yesu Inakaribia
268 116 Anafundisha Unyenyekevu Kwenye Pasaka ya Mwisho
270 117 Chakula cha Mangaribi cha Bwana
272 118 Wanabishana ili Kujua Ni Nani Ndiye Mukubwa Zaidi Kati Yao
274 119 Yesu—Ni Njia, Kweli, na Uzima
276 120 Kuzaa Matunda Kama Matawi na Kuwa Marafiki wa Yesu
278 121 “Musiogope! Mimi Nimepata Ushindi Juu ya Ulimwengu”
280 122 Sala ya Mwisho ya Yesu Katika Chumba cha Juu
282 123 Anasali Wakati Iko na Huzuni Nyingi
284 124 Kristo Anasalitiwa na Kufungwa
286 125 Yesu Anapelekwa kwa Anasi, Kisha kwa Kayafa
288 126 Petro Anamukana Yesu Kwenye Nyumba ya Kayafa
290 127 Sanhedrini Inamusambisha, Kisha Anapelekwa kwa Pilato
292 128 Pilato na Herode Wanaona Kuwa Yesu Hana Kosa
294 129 Pilato Anasema: “Muangalie! Mwanaume!”
296 130 Yesu Anatolewa na Anapelekwa ili Auawe
298 131 Mufalme Mwenye Hana Kosa Anateseka Kwenye Muti
300 132 “Hakika Huyu Alikuwa Mwana wa Mungu”
302 133 Mwili wa Yesu Unatayarishwa na Kuzikwa
304 134 Kaburi Liko Wazi—Yesu Ni Mwenye Kuishi!
306 135 Yesu Mwenye Amefufuliwa Anatokea Wengi
308 136 Pembeni ya Bahari ya Galilaya
310 137 Mamia Wanamuona Mbele ya Pentekoste