Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 5 uku. 5
  • Ni Nani Anaweza Kuwa Mugeni Katika Hema la Yehova?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ni Nani Anaweza Kuwa Mugeni Katika Hema la Yehova?
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Endelea Kuwa Mugeni wa Yehova Milele!
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2024
  • Yehova Anatualika Tukuwe Wageni Wake
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2024
  • Yehova Ndiye Rafiki Yetu Muzuri Zaidi
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 5 uku. 5

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ZABURI 11-18

Ni Nani Anaweza Kuwa Mugeni Katika Hema la Yehova?

Kuwa mugeni katika hema la Yehova kunamaanisha kama mutu ni rafiki ya Mungu, mutu mwenye kumutumainia na kumutii. Zaburi ya 15 inaonyesha sifa zenye Yehova anapenda marafiki wake wakuwe nazo.

MUGENI WA YEHOVA ANAPASWA . . .

  • kuwa muaminifu

  • kusema kweli, hata katika moyo wake

  • kuheshimia watumishi wengine wa Yehova

  • kutii neno lake, hata kama ni vigumu

  • kusaidia watu wenye kuwa na lazima ya musaada bila kutumainia faida yoyote

MUGENI WA YEHOVA ANAEPUKA . . .

  • kupiga porojo ao kusema mambo ya uongo juu ya wengine

  • kutendea jirani yake mambo mabaya

  • kuwapunja ndugu na dada na kuwatumikisha kwa faida yake

  • kufanya urafiki na watu wenye hawamutumikie Yehova ao kumutii

  • kukubali rushwa ao kata midomo

Hema
    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine