-
Hesabu 14:33, 34Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
33 Wana wenu watakuwa wachungaji nyikani kwa miaka 40,+ nao lazima wateseke kwa sababu ya matendo yenu ya kukosa uaminifu* mpaka mtu wenu wa mwisho atakapofia nyikani.+ 34 Mtateseka kwa sababu ya makosa yenu kwa miaka 40,+ sawa na siku 40+ ambazo mliipeleleza nchi, yaani, siku moja kwa mwaka mmoja, siku moja kwa mwaka mmoja, kwa maana mtajionea matokeo ya kunipinga mimi.*
-