1 Samweli 15:22 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Zaburi 51:16, 17 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 16 Kwa maana hutaki dhabihu—la sivyo ningeitoa;+Hupendezwi na dhabihu nzima ya kuteketezwa.+ 17 Dhabihu zinazompendeza Mungu ni roho iliyovunjika;Moyo uliovunjika na kupondeka, Ee Mungu, hutaukataa.*+ Hosea 6:6 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mshikamanifu,* si dhabihu,Na kumjua Mungu, badala ya dhabihu nzima za kuteketezwa.+
16 Kwa maana hutaki dhabihu—la sivyo ningeitoa;+Hupendezwi na dhabihu nzima ya kuteketezwa.+ 17 Dhabihu zinazompendeza Mungu ni roho iliyovunjika;Moyo uliovunjika na kupondeka, Ee Mungu, hutaukataa.*+
6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mshikamanifu,* si dhabihu,Na kumjua Mungu, badala ya dhabihu nzima za kuteketezwa.+