Zekaria 1:16 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 16 “Basi Yehova anasema hivi: ‘“Nitarudi Yerusalemu kwa rehema,+ na nyumba yangu mwenyewe itajengwa humo,”+ asema Yehova wa majeshi, “na kamba ya kupimia itanyooshwa juu ya Yerusalemu.”’+
16 “Basi Yehova anasema hivi: ‘“Nitarudi Yerusalemu kwa rehema,+ na nyumba yangu mwenyewe itajengwa humo,”+ asema Yehova wa majeshi, “na kamba ya kupimia itanyooshwa juu ya Yerusalemu.”’+